For fun ,najaribu kutengeneza website kutumia html.
Nataka iwe na page say 5!
Code muhimu za html nimesoma online na baadhi za CSS.
Licha ya kusoma about a href code,sijajua vipi his webpages nitazilink kufanya website.
Je "a href" itakuwa sehemu gani ya page ya kwanza ili kulink page ya pili na kadhalika?
Nataka iwe na page say 5!
Code muhimu za html nimesoma online na baadhi za CSS.
Licha ya kusoma about a href code,sijajua vipi his webpages nitazilink kufanya website.
Je "a href" itakuwa sehemu gani ya page ya kwanza ili kulink page ya pili na kadhalika?