Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 501
- 986
Ni ukweli usiopingika kwamba kwa sasa hizi Bank mbili ni wababe ktk sekta ya Biashara ya kibenki Tanzania na hii ni kutokana na ukubwa waliokua nao na pia kutopishana sana kwny baadhi ya takwimu zao muhimu kama zinavyojieleza hapa chini..
1. THAMANI YA MALI WANAZOMILIKI(ASSETS VALUE)
CRDB:-Tsh13.2 Trilion
NMB:-Tsh12.165 Trilion
2. AMANA ZA WATEJA(CUSTOMER DEPOSITS)
CRDB:- Tsh 8.9 Trillion
NMB:- Tsh 8.4 Trilion
3. SHAREHOLDERS VALUE
CRDB:- Tsh 1.8 Trilioni
NMB:- Tsh 2.25 Trilioni
4. FAIDA BAADA YA KODI
CRDB:- Tsh 424Bn
NMB:- Tsh 542Bn
5. BEI KWA HISA MOJA DSE
CRDB:- Tsh 460
NMB:- Tsh 4500
6. BRANCHES(MATAWI)
CRDB:- 243(2022)
NMB:- 226(2022)
7. WAFANYAKAZI
CRDB:- 3700+
NMB:- 3500+
8. KUANZISHWA
CRDB:- 1996
NMB:- 1997
9. FOLLOWERS INSTAGRAM
CRDB:- 275K
NMB:' 270K
Unaeza kuongezea chochote cha ushndani pia kuhusu hzi benki mbili kubwa nchini binafsi nawakubali sana NMB kwny kitengo cha HUDUMA KWA WATEJA.
Nini kinakufurahisha na kipi kinakukera kutoka kwa hawa miamba wa sekta ya Bank na ni Bank ipi inayokuvutia zaidi ya hzo mbili hapa nchini...
1. THAMANI YA MALI WANAZOMILIKI(ASSETS VALUE)
CRDB:-Tsh13.2 Trilion
NMB:-Tsh12.165 Trilion
2. AMANA ZA WATEJA(CUSTOMER DEPOSITS)
CRDB:- Tsh 8.9 Trillion
NMB:- Tsh 8.4 Trilion
3. SHAREHOLDERS VALUE
CRDB:- Tsh 1.8 Trilioni
NMB:- Tsh 2.25 Trilioni
4. FAIDA BAADA YA KODI
CRDB:- Tsh 424Bn
NMB:- Tsh 542Bn
5. BEI KWA HISA MOJA DSE
CRDB:- Tsh 460
NMB:- Tsh 4500
6. BRANCHES(MATAWI)
CRDB:- 243(2022)
NMB:- 226(2022)
7. WAFANYAKAZI
CRDB:- 3700+
NMB:- 3500+
8. KUANZISHWA
CRDB:- 1996
NMB:- 1997
9. FOLLOWERS INSTAGRAM
CRDB:- 275K
NMB:' 270K
Unaeza kuongezea chochote cha ushndani pia kuhusu hzi benki mbili kubwa nchini binafsi nawakubali sana NMB kwny kitengo cha HUDUMA KWA WATEJA.
Nini kinakufurahisha na kipi kinakukera kutoka kwa hawa miamba wa sekta ya Bank na ni Bank ipi inayokuvutia zaidi ya hzo mbili hapa nchini...