Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Hiyo michezo kwenye mabank yetu nilishaishtukia siku nyingi mno! Siku hizi mimi kwenye account zangu nawacha kama 150'000 hela nyingine huwa nazizungusha kwenye biashara! Au kwaushauri mzuri badilisha hizo hela kwenye mfumo wa dola halafu fungua USD$ Account kwakua uwezi toa dola kwenye ATM mpaka uingie kwa Cashier dirishani hii ni kwausalama zaidi.