ebana na mimi nimepata tatizo hlo! mara ya mwisho account yangu ilikua na takriban laki 7,nimesafiri nimekuja mkoani nimetoa hela leo nashangaa kukuta laki 1 na elf 40. na mpaka kurudi dar es salaam ni mwezi wa 4! hv bank statement naweza kuomba popote? je inaonesha records za kila transcations