Kabisa.Hao CRDB wamezidiwa wateja ,inabidi muanze kutafuta bank nyingine
Nipo Bank zaidi ya masaa matatu tunasubiri kuhudumiwa na teller mmoja tu madirisha Mengine yote hayana wahudumu, baada ya Malalamiko unaambiwa muone Meneja wa tawi meneja wa tawi saa nzima hayupo ofisini kwake.!
Hivi kwa utaratibu huu tunataraji kweli kuwa na maendeleo? Unakaa kwenye foleni masaa matatu ukihitaji huduma ya benki?View attachment 1076387
Sio Kweli... ni kinyume chakeHao CRDB wamezidiwa wateja ,inabidi muanze kutafuta bank nyingine
Yamkini sina haki kisheria kutupia picha vipi kuhusu huduma bora nayo pia sina haki.? Huo mkono wa sheria unawahusu wateja tu na sio wale wanaotupotezea muda?Huna haki kisheria kupiga picha bank hall na kuirusha mitandaoni regardless of how strong your grievances are. Mkono wa sheria unakuhusu na siku hizi ID za watu JF zinatolewa sana tu kwa sababu za usalama. Take care sio kila kitu cha kupiga picha ka kupost.
Atoke Kibaha hadi Mlimani City?Nenda NBC Mlimani City
Nilishakimbia hizo bank zenye 'wateja wengi'Nipo Bank zaidi ya masaa matatu tunasubiri kuhudumiwa na teller mmoja tu madirisha Mengine yote hayana wahudumu, baada ya Malalamiko unaambiwa muone Meneja wa tawi meneja wa
Usifate mkumbo...Kabisa.
Tutahamia hata za wakenya
Kawaida yao hapo mkuu na kuna mdada mweupe hivi weemajibu yake sasa utazani mmegombana kumbe wala hamjuaniNipo Bank zaidi ya masaa matatu tunasubiri kuhudumiwa na teller mmoja tu madirisha Mengine yote hayana wahudumu, baada ya Malalamiko unaambiwa muone Meneja wa tawi meneja waView attachment 1076387
sawa....lakini ina hela?Mimi si mzalendo, Nina account Barclays. Ujinga huo hawana
Nenda pale Premier branch PPF Tower Posta..kuna cashier ana sura ngumu na hajawahi kumkenulia mtu tangu nimjue...sijui kwa nini habadilishwiKawaida yao hapo mkuu na kuna mdada mweupe hivi weemajibu yake sasa utazani mmegombana kumbe wala hamjuani