CRDB Bank hela zetu nani wanazitoa kwenye account

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,619
46,038
Mimi ni mteja wa CRDB juzi nimeenda kwenye account yangu mojawapo kwa ajili ya ada za watoto nimekuta zaidi ya milioni moja imetolewa.

Bank statment inaonesha kila siku walikuwa wanakata elfu kumi na moja sijui inasema purchase sijui nini.sijawai kununua chochote na hiyo card wala hakuna mtu alishawai kuiona. Wanasema eti labda nilibeti .sijawai hata sijui mambo hayo.

Wanasema siku 45 watanipa jibu.nini kinaendelea wakuu? Kudanga nidange mimi hela wachukue wengine kweli?
 
Mimi ni mteja wa crdb juzi nimeenda kwenye account yangu mojawapo kwa ajili ya ada za watoto nimekuta zaidi ya milioni moja imetolewa
Bank statment inaonesha kila siku walikuwa wanakata elfu kumi na moja sijui inasema purchase sijui nini.sijawai kununua chochote na hiyo card wala hakuna mtu alishawai kuiona.
Wanasema siku 45 watanipa jibu.nini kinaendelea wakuu??kudanga nidange mimi hela wachukue wengine kweli??


KAMA sio spotify ni Itune:

- Hao bank lazima wanajua imelipiwa kitu gani, angalia kama una hizo app, au angalia watoto, mume au watu wa karibu, sio kosa la Bank.
 
Mimi ni mteja wa crdb juzi nimeenda kwenye account yangu mojawapo kwa ajili ya ada za watoto nimekuta zaidi ya milioni moja imetolewa
Bank statment inaonesha kila siku walikuwa wanakata elfu kumi na moja sijui inasema purchase sijui nini.sijawai kununua chochote na hiyo card wala hakuna mtu alishawai kuiona.
Wanasema siku 45 watanipa jibu.nini kinaendelea wakuu??kudanga nidange mimi hela wachukue wengine kweli??
kuna ukata crdb bank , wanatumia pesa za wateja kuwalipa mishahara wafanyakazi wao
 
Mimi ni mteja wa crdb juzi nimeenda kwenye account yangu mojawapo kwa ajili ya ada za watoto nimekuta zaidi ya milioni moja imetolewa
Bank statment inaonesha kila siku walikuwa wanakata elfu kumi na moja sijui inasema purchase sijui nini.sijawai kununua chochote na hiyo card wala hakuna mtu alishawai kuiona. Wanasema eti labda nilibeti .sijawai hata sijui mambo hayo
Wanasema siku 45 watanipa jibu.nini kinaendelea wakuu??kudanga nidange mimi hela wachukue wengine kweli??
Tanzania wafanyakazi wa benki hawaaminiki. Narudia, hawaaminiki.
 
Acc yako Ina sh ngap jumla
Mimi ni mteja wa crdb juzi nimeenda kwenye account yangu mojawapo kwa ajili ya ada za watoto nimekuta zaidi ya milioni moja imetolewa
Bank statment inaonesha kila siku walikuwa wanakata elfu kumi na moja sijui inasema purchase sijui nini.sijawai kununua chochote na hiyo card wala hakuna mtu alishawai kuiona. Wanasema eti labda nilibeti .sijawai hata sijui mambo hayo
Wanasema siku 45 watanipa jibu.nini kinaendelea wakuu??kudanga nidange mimi hela wachukue wengine kweli??
 
Kuna mtu ana detail zako kuna app kaunganisha wanakata izo hela, mfanyakazi Gani wa bank mjinga awe anaiba elfu 11 Kila siku... Na wakati anajua lazima itaonyesha nani kafanya authorization,

Nipo hapa, lazima utakuja kutuambia Kuna mtu Ali access kadi yako akawa analipia ma application ya kipuuzi, crdb hawaendeshi kienyeji ivo, tungekua tunalia Kila siku
 
Mimi nitakua wa mwisho kuamini ya kua benki ni salama KUHIFADHI pesa KWA MUDA MREFU, benki nyingi wakiona Umemaliza miezi 6 au zaidi bila KUTOA au hata kuangalia salio sijui wanahisi umekufa, wanaanza kupita nazo....

Nina mshkaji wangu aliajiriwa kijijini, alikaaa miaka Kama mi 5 hagusi pesa yake ya Salary, Siku anaenda anakuta elf 37, badala ya mzigo wa kutoshaa..
Akalianzisha ndio wakaiweka...
 
Kuna mtu ana detail zako kuna app kaunganisha wanakata izo hela, mfanyakazi Gani wa bank mjinga awe anaiba elfu 11 Kila siku... Na wakati anajua lazima itaonyesha nani kafanya authorization,

Nipo hapa, lazima utakuja kutuambia Kuna mtu Ali access kadi yako akawa analipia ma application ya kipuuzi, crdb hawaendeshi kienyeji ivo, tungekua tunalia Kila siku
Itakuwa ni wewe
 
Ukiweka pesa Bank zetu za kibongo hakikisha hata mara moja kwa mwezi unaangalia Salio au hata kutoa Buku(SIO KUWEKA, NARUDIA SIO KUWEKA NI KUTOA),
Wajue huyu mmiliki yupo, mana sijui wanajua kila yule ana njaa za kutoa pesa mda wote bila hivyo ni marehemu...

Pia Hizi mambo za ku ruhusu online payment hasa katika manunuzi ya nje au hata baadhi ya Apps sio nzuri, fanya hivyo kwa kadi mojaa maalum..

Nina mshkaji hio siku alipanick alifanya hio kitu, anashangaa tuu msg zinamjia za pesa imekatwa kulipia .....,
Akapanik eti anataka avunje kadi, nikamuliiza uvunje ili? Akaseme hata sijui......, Mpk ikaisha uzuri haikubaki ndefu sana ila kama 300k ilienda.
 
Back
Top Bottom