CRDB acheni kukomoa wafanyakazi wa serikali tusiotumia benki yenu

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Aug 23, 2015
3,263
7,397
nyie kupewa tenda ya kusambaza mishahara yetu imekuwa NONGWA? tabia ya kuwawekea kwanza hela wafanyakaz walio na akaunti benki yenu halafu wa benki nyingne mnawakea baada ya siku mbili au tatu ni kuwafanya watu wafikiri benki zao zina matatizo!!

mfano jana ijumaa kuu mmewawekea hela walioko CRDB wengne mnatuambia mtaweka siku ya kazi kwa kuwa leo ni jmosi! hapa mnamaanisha hela yetu mtatuwekea j4 je kama sio kukomoa ni nini?

nawalaani sana nyie mnaofanya sikukuu tuione mbaya na kuifanya SERIKALI ya JPM kuonekana haiwajali wafanyakaz wakat nyie CRDB ndo mnaotukomoa!

xmas mliweka hela usiku wa tarehe 24 saa 7 je hyo ilikuwa siku ya kazi?


ifikie wakati serikali muwe mnaangalia na benki za kufanya nazo kazi!

ndio maana nlihamaga na hlo libenki kwa sababu ya usumbufu! mbakiege na hlo li CHINA DESK lenu muanufaishe wachina wenu hao!
 
nyie kupewa tenda ya kusambaza mishahara yetu imekuwa NONGWA? tabia ya kuwawekea kwanza hela wafanyakaz walio na akaunti benki yenu halafu wa benki nyingne mnawakea baada ya siku mbili au tatu ni kuwafanya watu wafikiri benki zao zina matatizo!!

mfano jana ijumaa kuu mmewawekea hela walioko CRDB wengne mnatuambia mtaweka siku ya kazi kwa kuwa leo ni jmosi! hapa mnamaanisha hela yetu mtatuwekea j4 je kama sio kukomoa ni nini?

nawalaani sana nyie mnaofanya sikukuu tuione mbaya na kuifanya SERIKALI ya JPM kuonekana haiwajali wafanyakaz wakat nyie CRDB ndo mnaotukomoa!

xmas mliweka hela usiku wa tarehe 24 saa 7 je hyo ilikuwa siku ya kazi?


ifikie wakati serikali muwe mnaangalia na benki za kufanya nazo kazi!

ndio maana nlihamaga na hlo libenki kwa sababu ya usumbufu! mbakiege na hlo li CHINA DESK lenu muanufaishe wachina wenu hao!
Tatizo sio BANK mkuu, tatizo sikukuu zimefika na wewe mfukoni huna hela.

Ni mbinu tu za kibiashara hizo za kuvutia wateja
 
Mkuu haiwezekani mteja wa CRDB akawekewa hela siku moja na yule wa bank tofauti. Kuna taratibu lazima zifuatwe ndipo zitimizwe.

Usijali,tafuta mtu akukopeshe kisha j4 utamrudiahia.
NB: 24 December siyo siku ya sikukuu. Haitambuliki kwenye kalenda ya Taifa. Ni siku rasmi ya kazi.
 
Mkuu haiwezekani mteja wa CRDB akawekewa hela siku moja na yule wa bank tofauti. Kuna taratibu lazima zifuatwe ndipo zitimizwe.

Usijali,tafuta mtu akukopeshe kisha j4 utamrudiahia.
NB: 24 December siyo siku ya sikukuu. Haitambuliki kwenye kalenda ya Taifa. Ni siku rasmi ya kazi.

we naye ni walewale! unanipa ushauri wa kukopa umesahau hii ni serikali mpya!? mtatumbuliwa tu tunasubiri uhuni uliofanyika bandarini kupitia benk yenu mtaisoma namba
 
Basi tofauti isiwe kubwa sana, Leo siku ya tatu toka wenzetu wa bank zingine wapate mishahara yao. Kweli mnatuboa.
 
Mbona NMB tangu jana asubuhi mambo safi tu? Nadhani ni suala la Idara au sekta yako unayofanya kazi
 
we naye ni walewale! unanipa ushauri wa kukopa umesahau hii ni serikali mpya!? mtatumbuliwa tu tunasubiri uhuni uliofanyika bandarini kupitia benk yenu mtaisoma namba
Mkuu pole Sana. Napata shida kujibizana na mtu mwenye hasira ya kucheleweshewa mshahara. Pole Sana. Mara nyingine ujifunze kuwa mteja wa benki inayoheshimika na kutambulika.
 
mie nipo NMB na kwa sie watu wa dar es salaam tunahudumiwa na CRDB ndo waliopewa tenda! yani ni CHUKI tu zinawasumbua! kabla ya wao kupewa tenda mambo yalikuwaga poa sana!
 
Mkuu pole Sana. Napata shida kujibizana na mtu mwenye hasira ya kucheleweshewa mshahara. Pole Sana. Mara nyingine ujifunze kuwa mteja wa benki inayoheshimika na kutambulika.

we pimbi unajua thamani ya sh 3000? ndo iliyoniondoa CRDB baada ya kimei kutangaza kutukata kama salary processing fee!

huyo alinifanya nione CRDB ni zaidi ya majangiri ya tembo halafu unaniambia eti benki inayoheshimika! mark my words mtatumbuliwa tu na nyie
 
nyie kupewa tenda ya kusambaza mishahara yetu imekuwa NONGWA? tabia ya kuwawekea kwanza hela wafanyakaz walio na akaunti benki yenu halafu wa benki nyingne mnawakea baada ya siku mbili au tatu ni kuwafanya watu wafikiri benki zao zina matatizo!!

mfano jana ijumaa kuu mmewawekea hela walioko CRDB wengne mnatuambia mtaweka siku ya kazi kwa kuwa leo ni jmosi! hapa mnamaanisha hela yetu mtatuwekea j4 je kama sio kukomoa ni nini?

nawalaani sana nyie mnaofanya sikukuu tuione mbaya na kuifanya SERIKALI ya JPM kuonekana haiwajali wafanyakaz wakat nyie CRDB ndo mnaotukomoa!

xmas mliweka hela usiku wa tarehe 24 saa 7 je hyo ilikuwa siku ya kazi?


ifikie wakati serikali muwe mnaangalia na benki za kufanya nazo kazi!

ndio maana nlihamaga na hlo libenki kwa sababu ya usumbufu! mbakiege na hlo li CHINA DESK lenu muanufaishe wachina wenu hao!

Uko sahihi, hata hivyo swali jingine la kujiuliza ni kwa sababu gani Serikali ilisitisha mkataba wa kupitishia mishahara ya watumishi wa umma katika bank ya NMB na kuingia mkataba na CRDB???
Inafahamika kuwa Bank ya NMB ndio Benki ya Makabwela na ndio Benki pekee iliyo ktk Wilaya zote za Tanzania hivyo kuifanya kuwa Benki pekee inayo wafiki watanzania wote kwa urahisi, sasa sielewi kigezo gani kilirumuka kupitishia mishahara kwa watumishi wa umma kwenye Benki ambayo haiwafikii watumishi kiurahisi????!!!

Wizara ya fedha angalieni upya jambo hili kwa kujali maslahi ya wafanyakazi
 
  • Thanks
Reactions: Mss
Sio kweli NMB hela ilitosheleza tangu jana ijumaa kabla ya "jogoo kuwika".yawezekana ni tatizo kwako tu..
 
tenda za kupeana! CRDB ni majanga kupitishia mshahara! zaman tulikuwa tunapitishia NMB yan hali ilikuwa shwari! hawa CRDB wana gubu utafkiri mke mdogo
 
Hahahahahaha crdb ni busha linahitaji operation sio jipu.. Hili lakuchelewesha mishahara sio jambo lakulifumbia macho hata kidogo..I feel ur pain mkuu
 
we pimbi unajua thamani ya sh 3000? ndo iliyoniondoa CRDB baada ya kimei kutangaza kutukata kama salary processing fee!

huyo alinifanya nione CRDB ni zaidi ya majangiri ya tembo halafu unaniambia eti benki inayoheshimika! mark my words mtatumbuliwa tu na nyie
aaah mkuu vipi tena?,,,,,,,,,,,jamiiforums tunakutana watu wazima hapa,,,,,,kwa hiyo angalia maneno unayotumia.
 
Uko sahihi, hata hivyo swali jingine la kujiuliza ni kwa sababu gani Serikali ilisitisha mkataba wa kupitishia mishahara ya watumishi wa umma katika bank ya NMB na kuingia mkataba na CRDB???
Inafahamika kuwa Bank ya NMB ndio Benki ya Makabwela na ndio Benki pekee iliyo ktk Wilaya zote za Tanzania hivyo kuifanya kuwa Benki pekee inayo wafiki watanzania wote kwa urahisi, sasa sielewi kigezo gani kilirumuka kupitishia mishahara kwa watumishi wa umma kwenye Benki ambayo haiwafikii watumishi kiurahisi????!!!

Wizara ya fedha angalieni upya jambo hili kwa kujali maslahi ya wafanyakazi
Mkuu, benki ya makabwela ilihali riba wako juu ya Crdb kwa 20 ya 18.
 
Back
Top Bottom