, cKupigwa fimbo sit na mwalimu mkali kuliko wote shule bila kujikuna mbele ya wanafunzi wenzangu. Ila duh kudadek nilivyotoka pale chini kulikua hakukaliki.
hahahahaha Mkuu umenkumbusha mbali sanaaa na mimi nilikuwa na langu la omo yan n full kujipmia tyuWakati wa uji vyombo vilikuwa SADOLIN, kuna jamaa namkumbuka na sadolin lake lililokuwa limeandikwa DON'T SPY ME. jamaa anajaza na kumaliza peke yake.
Uwiii hahahha wanaume nyiee hamfaiiii shule za wasichana hawawezi fika huku aiseeSisi pale mrike sec moshi
tulikua tunacheza kamari ya kupiga nyeto yaani tuna changa mia mia watu kati ya watano mpaka kumi tuna kaa kati na mafuta yetu picha washabiki wana kuwepo bweni zima tuna hesabu mpaka tatu halafu tunaanza atakae anza kutoa ndio anachukua hela yote kuna watu walikua wamezoea mpaka nanihi zijbwa nyeusiii kama sugu vile
hivi shule za girls nayo wanakuwaga na makundi(kuwa na majina yao na chata),sisi tulishindikana shuleni kwetu enzi hizo kupiga chata zetu,uzuri tuliowakuta walikuwa na vikundi vyao,sisi tulikuwa kundi la watu kama 15,mguse mmoja uone mziki,halafu wengi wanakuwaga wahuni na walioshindikana either wavuta ganja au walevi,sisi tulijitenga na wengine kulikuwa na kacumba kadogo cha watu 16 ndani hostel,tulijichagua na kujipnga wenyewe.
Nkiwa High school nlitoroka nikaenda Fiesta...kurudi usiku nikakuta Mkuu wa shule mwenyewe kafanya roll call..mimi tu sipo.. Basi kuchekecha akili pale nkalala kesho yake asubuhi nikawahi ofisini kwa second master nimejishika tumbo nikadai kuanzia jana jioni najiskia vibaya sana sababu nliwahi kurogwa uchawi mmoja wa macho nikiwa nakula sasa huwa tumbo linashtuka na dawa zangu zipo huko porini nataka anipe ruhusa nikatafute.. ticha akabaki ananiangalia tu akanipa watu wanisindikize nikaenda nikachimba mizizi ya kutosha huko nkarudi nayo mingine nkaichoma moto nikafunga kwenye kijitambaa cheusi nikafunga mkononi.. Na mingine natafuna..
Aisee.. Hiyo kesi iliishia hapo hapo.
Umenikumbusha jamaa mmoja aliyekuwa anatafuta nafasi ya ku-serve siku ya wali na akiipata utakiona kivumbi chake maana siku mbili hadi tatu anakula wali tena bila hata kuchemsha.
Jamaa huyo aliendelea kuwa tabia yake maana nilipata habari kuwa kwenye harusi ya mdogo wake huko kijijini alijiwekea pilau kwa ajili ya safari kesho yake. kilichotokea ni kuharisha karibu njia nzima.
jamani tabia za shule zingine zafaa kuachwa uanpofika uraiani.
Inaonekana mlikuwa wasafi sana nyie, sisi sarawili ya dark bluu ilikuwa inavaliwa miezi kadhaa hadi unaweza kuandika notes juu yake kwa kutumia kijiti.