Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,063
Form One wengi walikuwa wametoka vijijini hasa hasa vya kulenga huko hakuna.
Pia wengine walikuwa wametoka MIJINI ambako hakuna vya kulenga.
Pana wakati baada ya kuishi sana Nchi za watu, nilikwenda Uturuki mjini Istanbul.
Kufika Airport Ataturk, tukaenda kupanda ndege kwenda Mikoani kwenye uwanja wa Domestic.
Kufika pale nikaona vyoo vya kuchuchumaa, nilicheka sana. Ila hata Dubai vipo.
Pia wengine walikuwa wametoka MIJINI ambako hakuna vya kulenga.
Pana wakati baada ya kuishi sana Nchi za watu, nilikwenda Uturuki mjini Istanbul.
Kufika Airport Ataturk, tukaenda kupanda ndege kwenda Mikoani kwenye uwanja wa Domestic.
Kufika pale nikaona vyoo vya kuchuchumaa, nilicheka sana. Ila hata Dubai vipo.
Sikonge wewe ni noma, kumbukumbu yako sio mchezo.
Kuna kipindi magazeti yanaadimika kabisa, inakulazimu kuchana daftari la mtu.
Form I walikuwa wanakera maana walikuwa wanashindwa kulenga shimo. Ndama wengine wakiingia wanapanga magogo hadi mlangoni. Hapo inabidi mtu uingie chaka.