Crazy things you did in secondary school

Nilikuwa nikienda kupiga punyeto!najitayarisha kama naenda library na bweni lazima wajue!!!nabeba kikopo changu,sabuni na picha ya kunipa stimu demu kakaa kihasara ni ya porn! hiyo tulikuwa tunaazimana kwa kila mpiga nyeto!

Sisi pale mrike sec moshi
tulikua tunacheza kamari ya kupiga nyeto yaani tuna changa mia mia watu kati ya watano mpaka kumi tuna kaa kati na mafuta yetu picha washabiki wana kuwepo bweni zima tuna hesabu mpaka tatu halafu tunaanza atakae anza kutoa ndio anachukua hela yote kuna watu walikua wamezoea mpaka nanihi zijbwa nyeusiii kama sugu vile
 
Me nakumbuka shule as girls school kuna kaugonjwa kakucheka cheka,basi kipindi hicho sijui tulikua hatujawekewa mafuta ya taa??? Basi tukaanza kucheka hahahaaaa uuuuuuuuuu!!!!! Basi darasa hadi darasa yani likitoka hili wanapokea hawa,,walimu wakaja darasani kwetu wameingia tu,tukaangua kicheko weee majanga wakasema tunawacheka wao,tulisambaziwa kichapo jamani huku tunacheka bado unachapwa huku unachapwa,,tukatolewa nje kwenye jua kupiga magot bad tunaangu kichek balaa tulichapw had nikalazw hospital wik nzim sijielewi,,

Ndio ulisema wiki nzima ulilazwa huku unacheka. . . .
 
Hahaaa duh mmenikumbusha mbali idodi iyo af mwezi wa ramadhan ugali wa daku umepikwa tangu sa 9 mchana watu tumetoka prepo fasta bwenini kwnda kuchkua vyombo kufika sehemu ya kugawia msos aanh...!! Kubabek kuna wapuuz wametuibia ugali wetu wa daku almost nusu na robo ya sufuria......!!!! Anh hapo yaliongelewa maneno ya kiislam oh...... laana kum. astaghafirullah wengine tuwasomee albadili dah.
Ila kuna watu wana roho mbaya.

Kwi Kwi Kwi Kwi, hii kali!
 
Dah
hizi story za shule zinanikumbusha mbali sana mpaka natamani nirudi shule ila sio kusoma nikafanye vituko tu ila miaka hii vituko hakuna watoto waoga sana
 
me nakumbk mwk jn nikiw 4m 4 mag high 2likmtw na tich aitway solo tukiw stoo 2nakul wal nyma wa aka2pg pch akaplk staf
 
2kiw 2nsma mag high! kn ck 2lib ethn mabra 2kalew alf ilkuw ck ya mech 2lchz na karanc 2kawpg 5 bla me nlpg ma 3 pk yang
 
Ilikuwa ni miono ice cool b'moyo
daaah, mm nilikuwa mtaalam wa kula vipolo vilivyo chacha halaf nacngizia kuwa nimeweka ndimu kutokana na ladha ya uchachu
 
Wale waliosoma mlama sec nlikuaga na chali yangu mmoja kipindi tunasimuliana vibwenge tulikuaga na kopo letu la kukojolea....jamaa alikuaga mwoga akiamka lazima anistue so tunakojoa kweny kopo afu mkono tujamwaga nnje ya dirishaaa.....
Na kuna washikaji wangu walikuaga vikojozi balaa afu wakakaa kweny deka moja si ilikua balaa ....huyu jamaa akikojoa leo kesho wana swap aliyekojolewa anamkojolea tena ilikuaga ugomvi kila siku😁😁😁😁😁

Na kuna mshikaji wangu huyo nlikuaga nikiamka afu nikamuona yy najua uji napata sasa balaa niamke nisimkute najua uji ndo ushaisha ...sasa nikiamka nimkute bado hajaondoka so najiguarentee napata uji so na kweli naenda kunywa na napata kweli

Nilikuwa Umbwe jirani yenu pale
 
Waliosoma Umoja Secondari ya FPCT Nsimbo,mkoa wa Tabora ,nitarudi kuandikaaaaa
 
Aisee inatisha i do remember last yeah when i was in form four niliwahi kuchapwa stick 43 siku moja na mwalimu mmoja. Waliosoma Nkende sec wanarikubali hili, af cha ajabu ni kwamba fimbo za kdato cha nne ni nyingi kuliko za vidato vitatu du nilichezea fimbo.
 
Nakumbuka cku yakwanza naingia shule flani form1 nilibana mavi kwa siku kama 3 hiv kisa ctaki kwenda chooni vyoo vichafu utoto wa Mama mwingi. Cku kama ya 4 niko assemble kilichonitokea Mungu mwenyewe anajua. Ngoja niishie apa
 
tulikuwa tuna mtindo wa kudoji vipnd unapga msuli bwenn sasa kuna cku ticha akaja bwenn 2likwa na mwanangu 2napga msuli ile tcha kufungua mlango mm nkaingia chin ya uvungu wa ktanda dah c nkaingia nusu viatu vikaonekana tena sikuvaa soks miguu imepaukaa ticha alpoiona miguu ikabdi acheke to wakt huo mm cjui kama kama ameniona nkawa nasema kmoyo moyo kilugha lelo ndero..yaan leo ndio leo
 
nakunbuka siku moja nligoma kuimba wimbowataifa mstarin prcnpl aliniforc akashindwa walimu wote waknifoc wakshindwa mpakawakawa wananibembeleza nikagoma ikbdi mkuu awnbie watuwaingie madarasni anishughulikie lkini nikagoma pia nkamwwmbia nliponmetka hosptali ilakma anataka kunipiga anpge.

cku hyo nlikuw na zari mkuu akawa mpole akanipa hela yanauli nrudi home kimoyomoyo nkacheka kweli nkaptia kwenye pind down kwa sir hidden.
 
Back
Top Bottom