Crazy GK baada ya kimya kirefu aonekana

Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.

GK mama yake ni mbunge wa viti maalumu CDM.. Mama Naomi Kaihura... Mia
 
jamani unanionea mimi mbona ferooz namfahamu,hata wimbo wa mikasi nilikuwa naufahamu,sema nimekuja kumfahamu muimbaji baada ya kuwa amekufa.mimi namfahamu Jembe kibanda na balile,hao kina manyerere si wa gazeti la jamhuri,na huyo ngurumo si wa Tanzania Daima,mimi kizazi cha Prof kapuya,alitufutia mtihani,ikabidi tufanye january 1999

Nimekukubali kweli sio kizazi cha mulugo sorry lol
 
mkuu, Stan Boi ni mwanamuziki mwenye kipaji.
hapa yupo na msanii Omarion wa B2K
22268_479573475787_716450787_11122978_4087988_n.jpg

Jamaa yupo tawi za Juu sana dogo stan boi kiraka
 
Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.

Kwani Hujui kama mama yake mzazi Naomi Kaihula aliyekua lecture CBE, na mwalimu Tambaza ni mbuge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuipitia chama cha CHADEMA


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ruge mbaya sana kapoteza vipaji vingi sana kwa tamaa zake.

Na wewe kila kukicha ni kumlaumu tu Ruge,utafikiri yeye ndio Mungu wa wasanii?kwani bila Ruge wasanii hawaendelei?fikirieni nje ya uwigo wa Ruge na mjiamini sio kila mtu akijipotezea Ruge,utasikia huyo ni Ruge ,huo ni ufinyu wa mawazo fungukeni
 
Du hiyo picha mi nilifikiri Samora Machel alipokuwa kijana akiwahutubia wana Frelimo huko Ntwara somoo,bah
 
Back
Top Bottom