Hivi na nyinyi CCM mna mpango wakuanzisha THIEVES ACADEMY maana naona Wezi wote ndo wanakimbilia huko?
View attachment 96921
ahahahaaaaaaaa mbavu zanguuuu ila kweli aisee
Hivi na nyinyi CCM mna mpango wakuanzisha THIEVES ACADEMY maana naona Wezi wote ndo wanakimbilia huko?
View attachment 96921
HII LEO ndo was the best truckSauti Ya Manka ndo mwisho wa matatizo.
Copy to Azote
Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.
jamani unanionea mimi mbona ferooz namfahamu,hata wimbo wa mikasi nilikuwa naufahamu,sema nimekuja kumfahamu muimbaji baada ya kuwa amekufa.mimi namfahamu Jembe kibanda na balile,hao kina manyerere si wa gazeti la jamhuri,na huyo ngurumo si wa Tanzania Daima,mimi kizazi cha Prof kapuya,alitufutia mtihani,ikabidi tufanye january 1999
mkuu, Stan Boi ni mwanamuziki mwenye kipaji.
hapa yupo na msanii Omarion wa B2K
GK mama yake ni mbunge wa viti maalumu CDM.. Mama Naomi Kaihura... Mia
Wakati anahojiwa na akina Millard alisema East Coast ni chama kubwa kama CHADEMA sijui na yeye alishatangaza nia ya kujiunga rasmi kama Prof J? Hivi CDM mnampango wa kuanzisha MUSIC ACADEMY eenh? Maana wasanii wote naona wanajiunga huko kwa kasi.
aliimba nyimbo gani?maana mimi ngwair kafa ndo nikamfahamu,huyu nae hata simfahamu,nitajieni nyimbo nikamcheki youtube
Ruge mbaya sana kapoteza vipaji vingi sana kwa tamaa zake.
aliimba nyimbo gani?maana mimi ngwair kafa ndo nikamfahamu,huyu nae hata simfahamu,nitajieni nyimbo nikamcheki youtube
gwanda rithi nchi
wewe hujui mziki toa pumba zako hapanimeangalia hata mwisho sijafika,hauvutii,bora hata nyimbo za marehem Albert
Ni mtu mzima sana na game lime badilikaKing crazy GK Rudi kazini
Hahahahha.Hii uzi ya lini ? Mimi sio fan kivile wa music. Wanamusic wengi nawafahamu wakifa au wakiugua.
Nyie watoto wa juzi ni ushuzialiimba nyimbo gani?maana mimi ngwair kafa ndo nikamfahamu,huyu nae hata simfahamu,nitajieni nyimbo nikamcheki youtube
Mmh hadi wewe, "sauti ya manka"aliimba nyimbo gani?maana mimi ngwair kafa ndo nikamfahamu,huyu nae hata simfahamu,nitajieni nyimbo nikamcheki youtube
Sauti ya manka ndo nini ?Mmh hadi wewe, "sauti ya manka"