FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Hasikiki kwenye music ,kwenye movie popote pale sioni news zake kulikoni?
yupo yupo.....anakula hela yake tu...alitoa few songs hazikuhit sana ndio maana hasikiki....recently nimemuona kwenye tv show fulani as guest.....
asante sana mbebabox ...nashangaa tangu nimesingia zile song zake " am walking away mpaka leo sijamsikia tena
Duuh! ama kweli gemu ni gumu namkumbuka na 7 Days
sio ugumu wa game,ni arrogance/over confidence/exposure ndio imemshsha.....he is or was very talented....he wrote his 1st album i think alikuwa 17.....album iliuza over 7million copies......he turned down record deals from big american producers including P.DIDDY just because aliamini atakuwa big on his own.....lakini hadi kesho he is successfull musically na financially..........
Umenikumbusha wimbo wake wa Rise and Fall
nasiki apia yuko na boyfriend ni kweli?
sio boyfriend jamaa keshachukua jumla.sasa hivi ni mama wa nyumbani.
Umenikumbusha wimbo wake wa Rise and Fall
Jamani hapa sielewi kabisa kabisa hebu nitoeni tongo tongo
sio boyfriend jamaa keshachukua jumla.sasa hivi ni mama wa nyumbani.
Huyu watu wanasema sio rizki kutokana na matendo yake na kutokuwa na girlfriend kwa muda mrefu the same applies to Sol Campbell(Arsenal player),Lennox Lewis(ex-boxer) tofauti na watu kama wakina Elton John na George Michael ambao wamekuwa wakiishi na wanaume wenzao.
Craig David sidhani kama ni kweli,tatizo he is obsessed with his body.Kuna story nilisomaga kwenye newspaper,model fulani alidai wakati yeye yuko kitandani mtupu Craig D alichukuwa muda kama wa dakika 3 akiwa anajiangalia kwenye kioo kabla ya shuguli(alikiri ilikuwa pevu).Kwa uzuri wa huyo demu kwenye gazeti,nikawa ninajiuliza sisi wakina yahe tusingekumbuka ata kioo...au kingetumika kujiangalia wakati unasimamia baskeli ya swala kwa kidole gumba.