mmmmm sasa kireno na kiarabu wapi na wapi??
ndo nanai huyo
ndo nanai huyo
Kuna tafsiri kibao. Kwa kila lugha maarufu duniani.
ni baada ya kuingia mkataba na shirika la mobily,awapa heko waislamu,asema anaelewa mengi yanayozungumzwa katika vyombo vya khabari juu ya waislamu ni uzushi!!!
Atakuwa nabii huyu! mmbora kabisa...kama K.....RESHI!!
Kuna tafsiri kibao. Kwa kila lugha maarufu duniani.
" ama kweli mkuu, umefika mbali na elimu yako maana hata sura ya kwanza (al-Fatiha) husomwa kwa kiARABU pia kwenye Salat: uisome Al-fatiha kwa kiarabu. kwa hiyo nakala aliyopewa CAPTAIN Chris.Ronalldo imeandikwa w KIRENO kwa maandishi...kwani Wareno/Hispania/Giblarta na waarabu walikuwa toka zamani wakibadilishana mambo km:- biashara,mateka,wafungwa,viyombo tamaduni, nk. kwa hiyo si ajabu hayo. hivi sasa kuna misikiti na maktaba ya kiislamu huko ulaya pia huko Arabuni wapo wachezaji soka wa kulipwa kutoka ureno/barzil/spain nk: mmoja wapo RAUL aliykuwa cpt. wa Real madrid. kwa hiyo huu ni uhusiano wa tamaduni za kimatifa.Acha kudanganya. Korani haiandikwi nje ya kiarabu. Inatakiwa kubaki kama ilivyoshushwa orijino. Mtafsiri anatakiwa kutafsiri maandishi hayo ya kiarabu ndo ayaseme kwa lugha nyingine kama Kiswahili, lakini si kukiandika kitabu hicho (msahafu) kwa lugha nyingine ya tafsiri. Ingekuwa ni hivyo mbona tungekuwa na misahafu ya Kiingereza na Kiswahili?
naitamani sana quran iliyoandikwa kwa kingereza plz naomba basi uniambie zinapopatikana maana naamini english ni lugha maarufu
nguruwe hachinjwi,anapigwa magongo,ina maana ananyongwa,sisi hatunyongi,tunachinjanasikia mmeruhusiwa kuchinja njooni basi mnichinjie nguruwe wangu jamani