Pole na majukumu,
Naomba kuuliza;
Kwa mtu aliyesoma B.Sc in Building Economics (degree ya kwanza) kisha akasoma MBA Marketing, akitaka kusomea mitihani ya uhasibu atakuwa anaqualify kuanza na level ipi ya juu? (Module gani kati ya A, B, C & E)
Shukurani.