Wako Organized kweli, lakin unaweza pia ukajaribu kwa Rashid Ilala Primary School.APT Financial Consultant Centre, wapo organized sana!
ila kama amegawa kazi si ndio ufanisi ungekuwa mzuri kuliko yeye kufundisha masomo yote!! au inawezekana aliowapa hawapo vizuri. ahsante BAK
Wako Organized kweli, lakin unaweza pia ukajaribu kwa Rashid Ilala Primary School.
Ubaya wa APT Mzee Musasira amegawa sana kazi kwa walimu wengine hivyo ufanisi umepungua.
Hakika Mzee Musasira kagawa kazi kwa wengine lakini ujue kwamba somo moja kama, International Finance, linafundishwa na walimu karibia watano, hii itaondoa mwalimu asiye na uzoefu kufundisha hilo somo lote, kumbe kwa wazo la huyu mbunifu, creative and innovative, Musasira linaondoa hiyo kitu, plz nenda APT centre, kwa masomo yote matatu ya module moja wawezafundishwa na walimu karibia 15 na ni wazoefu wanaofundisha vyuo mbalimbali iwe arusha au hapa dar wanapiga part times zao hapo pia utashangaa maana mwalimu wa APT anafundisha ktk centre nyinginezo, nakusihi nenda APT!
ahsante Shark. vipi edson wa mnazi mmoja nae yupo vizuri?
ahsante Shark. vipi edson wa mnazi mmoja nae yupo vizuri?
Mimi nakushauri uende kwa Edson,yupo fresh kwenye international na fiancial report.tax nenda kwa rashid boma ilala.
Mimi nakushauri uende kwa Edson,yupo fresh kwenye international na fiancial report.tax nenda kwa rashid boma ilala.
cdhani..personally i think dr nkoba yupo vizuri zaidi plus edson kafundishwa na dr nkobaNi mzuri wa IF kuliko Dk. Nkoba?? sidhani aisee