WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
- Thread starter
- #61
Unajua nipo katika kampeni nzito ya kumtafuta mtu kisha nimjenge kwa kipindi hiki then 2012 awe ananipikia na kupakua tu si unajua ni malengo tu niliyo jiwekea ifikapo 2012 na mm naaga ukapera.
DUH!
Fidel, naona huyu hutamweza kama una mipango ya aina hiyo.KUPIKA NA KUPAKUWA? Huyu ni matawi ya juu..... labda wewe uwe unampikia na kupakuwa maana yeye muda mwingi anakata mawimbi across continents.