JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
kwani mtu anavyooa au kuolewa are you marrying for watu wengine au mwenyewe???hao kaka sijui dada watakuja kuishi na wewe kwenye ndoa yako?? yani wat the f.c.u.k is wrong na watu kuingilia makubaliano ya watu wawili wanaopendana ya kuoana??yani nachukiaga sana nikisikia habari hizi.
Sister L via Veracity: tafadhali nakuomba usisikie ya mtu. kama unampenda huyo kaka go ahead olewa naye na uzae naye mtoto/watoto.mambo ya familia sijui nini yaache mbali kabisa.hawajui mlikutana wapi na huyo kaka what you have been through mpaka hapo and how much you love yourselves.kuolewa na kuachika isnt a big issue to make you not to get married with him.labda it was a mistake kuolewa na huyo jamaa wa kwanza and this new guy could be the right guy.
ABOVE ALL NI MAISHA YAKO SO NDO UTAAMUA CHA KUFANYA.
Sister L via Veracity: tafadhali nakuomba usisikie ya mtu. kama unampenda huyo kaka go ahead olewa naye na uzae naye mtoto/watoto.mambo ya familia sijui nini yaache mbali kabisa.hawajui mlikutana wapi na huyo kaka what you have been through mpaka hapo and how much you love yourselves.kuolewa na kuachika isnt a big issue to make you not to get married with him.labda it was a mistake kuolewa na huyo jamaa wa kwanza and this new guy could be the right guy.
ABOVE ALL NI MAISHA YAKO SO NDO UTAAMUA CHA KUFANYA.