Could this be it?....................

poa rafiki,nashukuru mlinisaidia sana lakini bado nina kazi maana dada simuoni kama anaelewa anachotaka yupo tu na hata mwanaume anamtaja tu jina mambo mengine kitendawili.

turudi kwenye topick dada asije akakasirika Finest



Chauro mambo hope yale matatizo umeweza kukabiliana nayo.
 
Ingawa kisa chenyewe sijakielewa sana, lakini unataka kutuambia kuwa Sister wako ana mtoto (sijui wa wa mwanaume gani), ila kuna mume wa mtu amekuwa na mahusiano naye kwa miaka kama 13..

Nadhani Huyo Sister hakumtendea wema mke wa mwenzie kwa kutembea na mme wa mtu miaka yote hiyo.
Nafikiri kukishakuwa na ndoa, haijalishi mliingiwa kwa 'style' gani, ni lazima iheshimiwe.
Mwanaume analia kwa sababu anafikiri kwamba alifanya makosa kumuoa mke aliyenaye sasa, na hii imemfanya aishi kwa kivuli cha Sister wako..
Nashauri huyo dada yako asiwe sababu ya ndoa ya watu kuvunjika, aheshimu ndoa, na kuanzia sasa, aachane na mume wa mtu..
haingii akilini hata kidogo kwa mume aliyeoa kulilia penzi la nje..Hiyo dada yako miaka yote 13 alikuwa anafanya nini...inawezekana amekataa 'Proposal' nyingi tu kisa kumridhisha mume wa mtu..
Mshauri dada yako, amuache mume wa mtu..

Aksante mpendwa
Naomba nikuwekee sawa....Hiyo miaka 13 ni kwamba huyu bwana amekuwa akimpenda sisy ..................ila hawakuwa na mahusiano (kwa lichonihakikishia mwenyewe!) ila tu the guy was there for her yaani alikuwa akisikia kuwa anaumwa the guy huyo hapo............ kaja kumjulia hali, akipatwa na msiba the guy huyo yaani they were friends (ingawa kaka alitaka more than that............

Ila nimekuelewa na nimependa ushauri wako kuwa since now ni mume wa mtu si vema kwa sisy kumfikiria pamoja na kuwa yeye ndo alianza kupendwa na muhusika.

Aksante sana umenibariki
 
MJ1,

Naamini kabisa hapo kuna true love ila ni too late. Wakijaribu kufanya jambo lolote watasababisha majeruhi wengi sana huko mbele. Kama wako tayari kwa hilo wanaweza kuendelea!
 
Lakin yote tisa, kumi ni kwamba . . . kutoa ushauri wowote wa kuendeleza mahusiano na mke/mume wa mtu kushauri muendelezo wa UZINZI bila kujali wanapendana vipi.

Ndoa si lelemama. Kuitunza na kuiendeleza ndoa kazi kweli kweli.
Kama wanataka kujenga mahusiano nje na ndoa zao basi wajenge tu, maana si kitu kigeni siku hizi. Ila wajue kwamba MUOSHA HUOSHWA.

Aksante sana Yaani hili ndilo neno ambalo ningependa sisy alielewe maana ni kweli kabisa pamoja na yote yaliyotokea nadhani haikupangwa wawe wote so wasilazimishe hata kwa ufisadi


Mwj1 sijui sijaelewa kilichomliza huyo kaka au nimekusoma haraka haraka?...Anyway, ngoja nifike hapo nyumbani unielezee vizuri.

Mbu kaka yangu duniani kuna mambo......mi mwenyewe niliyatoa majicho hadi yanakaribia kudondoka. Mwe!! Ninaombeni likizo ya haya makitu wajameni


Alikuwa analilia nini ambacho hakuwahi kukipata for 13yrs? Damn!
He must be some new type of jerk!

Babu umeona eh? uwiii mie hata sielewi jamani
 
Aksante mpendwa
Naomba nikuwekee sawa....Hiyo miaka 13 ni kwamba huyu bwana amekuwa akimpenda sisy ..................ila hawakuwa na mahusiano (kwa lichonihakikishia mwenyewe!) ila tu the guy was there for her yaani alikuwa akisikia kuwa anaumwa the guy huyo hapo............ kaja kumjulia hali, akipatwa na msiba the guy huyo yaani they were friends (ingawa kaka alitaka more than that............

Ila nimekuelewa na nimependa ushauri wako kuwa since now ni mume wa mtu si vema kwa sisy kumfikiria pamoja na kuwa yeye ndo alianza kupendwa na muhusika.

Aksante sana umenibariki


...ili iweje? amuoe mke wa pili?
Mwj1 kuwa muwazi kidogo. Mke wa pili sunna ati!
 
MJ1,

Naamini kabisa hapo kuna true love ila ni too late. Wakijaribu kufanya jambo lolote watasababisha majeruhi wengi sana huko mbele. Kama wako tayari kwa hilo wanaweza kuendelea!

DC inawezekana kabisa kuwa ni true love kutoka kwa mkaka but nadhani maamuzi yao ni vema yakaongozwa na maadilli zaidi ya hisia zao za mapenzi maana kwa kuna wakati flani - wakati sisy ameenda kusoma mkaka alishawahi kugombana na by then galfriend wake kisa mawasiliano yasiyokwisha na sisy......... kiasi cha yule jamaa kumjibu mchumbake kuwa anawish siku sisy amkubalie kwani penzi lake liko kwa sisy na si kwa galfriend wake......yule mdada alitaka kunywa sumu (according to maelezo ya dada alivyohadithiwa na mkaka!)!- mi sijui kama ilikuwa kweli au mbinu tu ya kuonyesha penzi kwa dada.

But whatever the reality............kwa sasa ni mume halali wa mtu na any alteration of this inawezasababisha madhara makubwa sana......
 
Nimegundua kitu kwenye hii mada. Watu hawaheshimu kabisa ndoa! Inatisha sana aisee. Nawasikitikia wote mlio kwenye ndoa.

Ni kweli ila haya mambo ni very personal na ni magumu sana. Si kwamba watu hawauji kuwa ni vibaya kuchezea ndoa, bali wanajua saaana tena. Hata hivyo wanaendelea tena sana. Nadhani ni kama madaktari wanaovuta sigara huku wakijua kuwa wanaweza kupoteza maisha!
 
...ili iweje? amuoe mke wa pili?
Mwj1 kuwa muwazi kidogo. Mke wa pili sunna ati!

................. Hahahah mbu hapana nilimaanisha kipindi hicho mkaka hajaoa walikuwa just friends ingawa mkaka alitaka more than that na dada ............hajanipa sababu ya kwa nini hakuwezaafikiana naye kipindi kile!!
 
DC inawezekana kabisa kuwa ni true love kutoka kwa mkaka but nadhani maamuzi yao ni vema yakaongozwa na maadilli zaidi ya hisia zao za mapenzi maana kwa kuna wakati flani - wakati sisy ameenda kusoma mkaka alishawahi kugombana na by then galfriend wake kisa mawasiliano yasiyokwisha na sisy......... kiasi cha yule jamaa kumjibu mchumbake kuwa anawish siku sisy amkubalie kwani penzi lake liko kwa sisy na si kwa galfriend wake......yule mdada alitaka kunywa sumu (according to maelezo ya dada alivyohadithiwa na mkaka!)!- mi sijui kama ilikuwa kweli au mbinu tu ya kuonyesha penzi kwa dada.

But whatever the reality............kwa sasa ni mume halali wa mtu na any alteration of this inawezasababisha madhara makubwa sana......

Ni kweli kabisa ila hilo litategemea kama watakuwa tayari kuukubali ukweli kuwa maji yalishamwagika. Wakijifanya vichwa ngumu watajikuta katika uzinzi ambao wao wataona ni mapenzi matamu saaaaaaaaaana wakati huo wanajichongea majeneza!
 
Ni kweli ila haya mambo ni very personal na ni magumu sana. Si kwamba watu hawauji kuwa ni vibaya kuchezea ndoa, bali wanajua saaana tena. Hata hivyo wanaendelea tena sana. Nadhani ni kama madaktari wanaovuta sigara huku wakijua kuwa wanaweza kupoteza maisha!

Kwa kifupi ni kwamba hakuna maadili kwenye jamii. Mzee pole kama uko kwenye ndoa.
 
kwa hiyo ni kama huyu kaka alioaga tu ilimradi kuziba gap coz ampendae alikuwa mbali nae kwa wakati huo(ulaya)...cjui kama Mj1 nimekupata vzr ndio mana nilikuwa nasita kuchangia.
 
................. Hahahah mbu hapana nilimaanisha kipindi hicho mkaka hajaoa walikuwa just friends ingawa mkaka alitaka more than that na dada ............hajanipa sababu ya kwa nini hakuwezaafikiana naye kipindi kile!!

hapana Mwj1, huko tulishapita nikakuelewa vizuri tu.
Nazungumzia kilio cha jana huko faraghani...

images

Leo jioni dada aliamua kumsikiza (kwa kuwa amekuwa akimsihi kwa muda wote huo) ........mkaka wa watu si akajielezea hisia kwa kilio yaani dada amekuwa shocked hajawahi ona mwanaume anatoa machozi na kuongea kwa uchungu namna hiyo
Huyu kaka anataka iweje?...haiwezekani mtu mzima alie tu bila kusema alilo nalo moyoni.
Anakusudia kumuoa, au wawe wanaibia penzi tu?
 
Kwa kifupi ni kwamba hakuna maadili kwenye jamii. Mzee pole kama uko kwenye ndoa.

Ahsante mzee,

Nipo sana tena zaidi ya muongo mmoja. Ukienda kwa wenye chongo....! Sioni shida kwa sababu wote tuko kwenye sweemming pool moja. Anayeniibia mimi leo labda wakati huo au kesho anaibiwa. Tatizo kubwa ni kwamba sijawahi kumwibia mtu.

Labda siku moja na mimi nitajifanya kijizi kidogo dogo!

Mzee DC
 
mmh!!hilo waswahili wanasema ni 'CHANGA LA MACHO'
jamaa anataka kuprove a point so lazima atoe mchozi ili apate anachotaka
kwanza kamsumbua for 13 yrs so interest imeshachuja ..may be anataka tu kupitia afu ampgige booty
mwambie sis asibabaike na michozi utapeli mtupu no love there ni matamanio tu
hapo atakuwa kamvisualize mnoo itakavyokuwa, uchu huo..lol ..kama namuona huyo jibaba vile
 
...Mwj1, hakuna kitu kama hiyo. Jamaa kwa jinsi ulivyoelezea 13years alikuwa hajabahatika kuwa faragha na dada'ko, si ndio? Sasa leo kazawadiwa huo muda kinachomliza nini?

Mimi sipendi watu wanaojiliza liza ujinga bana. Ananikumbusha mrembo fulani alikuwa kila aki cheat, anaomba msamaha akilia, kujigaragaza chini na kujiapiza eti akiachwa atajiua! Usanii tu huo.

Anacho anachokililia, (Guilty Conscious) sio penzi...!

Mbu.........kwa maelezo ya Dada ni kuwa walishawahi kutoka mara nyingi tu......lakini hawajawahi kugusana. Sasa hapa siwezithibitisha kama ni kweli au la ingawa nahisi kama kuna ya ziada vile!!....
 
Ahsante mzee,

Nipo sana tena zaidi ya muongo mmoja. Ukienda kwa wenye chongo....! Sioni shida kwa sababu wote tuko kwenye sweemming pool moja. Anayeniibia mimi leo labda wakati huo au kesho anaibiwa. Tatizo kubwa ni kwamba sijawahi kumwibia mtu.

Labda siku moja na mimi nitajifanya kijizi kidogo dogo!

Mzee DC

Heheheheeee ni bora ukae tu hivyo hivyo bila kujua kuwa unaibiwa. Lakini jua kuwa uwezekano wa kuibiwa upo tena mkubwa tu maana uaminifu wa mtu kwenye ndoa au mahusiano ni siri yake moyoni!
 
Back
Top Bottom