MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #101
TF miaka 13 inajumuisha na ile ambayo alikuwa hajaoa.........nadhani ndia yake kwa sasa itakuwa na kama 5 hivi na hakuacha kumchombeza dada hata akiwa ndani ya ndoa yake........so kuiweka sawa sentence yako ni kuwa umeoa for 5 years na bado unamchase mwanamke uliekuwa unamchase for teh past 8 years........... I just wish dada angeopen up more kunipa sababu za kumgomea jamaa hiyo miaka 8 kabla hajaoa!! Mwe duniani jamani ahYou are in marriage and you chasing someone for 13 years na machozi juu ahaaa this is purely usanii at its best kweli watu hawaheshimu NDOA zao.
Sometimes nahisi mapenzi wala hayana tatizo ni sie wapendwaji na wapendaji ndo tunayacomplicate!!