Cotto Vs Pacquiao- Nani mbabe?

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
2,257
353
Jumamosi ya tarehe 14 hakika tutaona pambano la mwaka la masumbwi katika uzani wa walterweight kati ya mpueto rico Miguel Cotto na pound for pound King- Manny Pacquiao.

Sidhani kama Pacman amewahi kuwa na pambano gumu kushinda hili, Cotto ni very strong pysically na ana ngumi nzito, sina hakika sana na stamina yake, katika pambano lake la mwisho dhidi ya Clottey japo alishinda kwa points lakini wote tuliona jinsi alivyostruggle na aliruhusu ngumi nyingi kuingia.

Nategemea speed ya Pacman na uzito wa ngumi zake zinazotoka kila kona utampatia ushindi wa points au KO katika rounds za jioni. Naomba sana ashinde huu mpambano ili mwakani tuone mpambano wa karne kati yake na Money Maywether. Lakini kama ushindi utakuwa ni wa Cotto- ni lazima itakuwa KO ya mapema, akizubaa hadi pambano lifike round ya sita atapigwa.
 
mkuu mie nadhani pac man anashinda hili pambano.huyu cotto nilichukia siku hile walivyombeba alivyopigana na mghana yule.kwahio jumamosi pac man all the way.
 
Jumamosi ya tarehe 14 hakika tutaona pambano la mwaka la masumbwi katika uzani wa walterweight kati ya mpueto rico Miguel Cotto na pound for pound King- Manny Pacquiao.

Sidhani kama Pacman amewahi kuwa na pambano gumu kushinda hili, Cotto ni very strong pysically na ana ngumi nzito, sina hakika sana na stamina yake, katika pambano lake la mwisho dhidi ya Clottey japo alishinda kwa points lakini wote tuliona jinsi alivyostruggle na aliruhusu ngumi nyingi kuingia.

Nategemea speed ya Pacman na uzito wa ngumi zake zinazotoka kila kona utampatia ushindi wa points au KO katika rounds za jioni. Naomba sana ashinde huu mpambano ili mwakani tuone mpambano wa karne kati yake na Money Maywether. Lakini kama ushindi utakuwa ni wa Cotto- ni lazima itakuwa KO ya mapema, akizubaa hadi pambano lifike round ya sita atapigwa.

PacMan is my favourate pound for pound boxer, nadhani has alot of mixed martial arts skills the way hea approaches opponents... I favor PacMan to win and meet the legendary Money Mayweather who is also my favourate

Naona kama Cotto anaweza asifike round ya kumi, labda kama PacMan amelewa zile hela alizochuma from than Naughty English Hutton!
 
Wakuu hivi pambano ni saa ngapi??

Wapenzi wa ngumi leo naona wachache
 
Jamani PacMan ni beast, I can not believe it, Cotto should give up!

Ni kweli kabisa, pundit anakwambia it has become a systematic beating

Its over!!

Pacman is the man!!!

Lets wait for Money Mayweather!!!:D
 
Seven world tittle.............watu wote walisema hatoweza kumpiga huyu Cotto na leo itakuwa mwisho wake pac man.....lakini kawaonyesha kama yeye the best
 
PacMan has fought every big name on sight, next on line has to be Floyd if not old man Sugar Shane Mosley!
 
Pacman ni noma,jana unaambiwa baada tu ya kushuka ulingoni, akaenda zake mandalay bay kwenye concert ku perfom na band yake ya MP band ambayo iko juu sana huko kwao .Nimesoma post fight interview, Cotto anasema alikua hajui ngumi zinatoka wapi! Pretty boy will be slaughtered......bring it on mwakani.
 
Pacman ni noma,jana unaambiwa baada tu ya kushuka ulingoni, akaenda zake mandalay bay kwenye concert ku perfom na band yake ya MP band ambayo iko juu sana huko kwao .Nimesoma post fight interview, Cotto anasema alikua hajui ngumi zinatoka wapi! Pretty boy will be slaughtered......bring it on mwakani.

Hayo maneno aliyasema pia Marques... the guy has electronic speed and i think he is doing lots of martial arts because his discipline in attack is unbelievable!!!

Ila kwa Mayweather, its a whole new ball game!!! Remember Pretty Boy ana defense isiyo na mfano na ana nidhamu ya hali ya juu kwenye fight na hatupi ngumi ovyo... He has Muhammad Ali defensive skills and he is very fast too

Nahisi pambano lao litakuwa too cautious na halitachanganya kama la Marques/Pacman au Hitman/pacman

Prediction: Mayweather to win by KO:D

Tatizo ni yule kichaa Mosley tu hapo kati
 
Seven world tittle.............watu wote walisema hatoweza kumpiga huyu Cotto na leo itakuwa mwisho wake pac man.....lakini kawaonyesha kama yeye the best

Nani alisema hataweza kumpiga Cotto? Huyu Cotto ni damaged goods tokea avurugwe na Antonio Margarito. Oddmakers wote walikuwa upande wa Pacman kushinda. Sasa hao watu wote waliosema hatoweza kumpiga Cotto ni kina nani hao?
 
Pacman ni noma,jana unaambiwa baada tu ya kushuka ulingoni, akaenda zake mandalay bay kwenye concert ku perfom na band yake ya MP band ambayo iko juu sana huko kwao .Nimesoma post fight interview, Cotto anasema alikua hajui ngumi zinatoka wapi! Pretty boy will be slaughtered......bring it on mwakani.

Has Pretty boy ever lost a fight? Is there a blueprint to beating him?
Has Pac ever lost a fight?
 
Hayo maneno aliyasema pia Marques... the guy has electronic speed and i think he is doing lots of martial arts because his discipline in attack is unbelievable!!!

Ila kwa Mayweather, its a whole new ball game!!! Remember Pretty Boy ana defense isiyo na mfano na ana nidhamu ya hali ya juu kwenye fight na hatupi ngumi ovyo... He has Muhammad Ali defensive skills and he is very fast too

Nahisi pambano lao litakuwa too cautious na halitachanganya kama la Marques/Pacman au Hitman/pacman

Prediction: Mayweather to win by KO:D

Tatizo ni yule kichaa Mosley tu hapo kati

I agree. Money Mayweather's defense is impregnable. He's never been knocked down. Never been knocked out. Never been hurt. And most importantly he's never lost a fight. He's 40-0.

My prediction is if they ever fight, don't expect to see any fireworks. It may be a boring fight to the casual fans but to us boxing enthusiasts it may be a great display of the sweet science and Money Mayweather will take the W.
 
PacMan has fought every big name on sight, next on line has to be Floyd if not old man Sugar Shane Mosley!

Hey... there's another dude by the name of Paul Williams that no one wants to fight. He's a 6"2 tall welterweight and a southpaw. Now you tell me how the 5"6 Pacquiao supposed to fight a guy like that.
 
I agree. Money Mayweather's defense is impregnable. He's never been knocked down. Never been knocked out. Never been hurt. And most importantly he's never lost a fight. He's 40-0.

My prediction is if they ever fight, don't expect to see any fireworks. It may be a boring fight to the casual fans but to us boxing enthusiasts it may be a great display of the sweet science and Money Mayweather will take the W.

I couldnt agree with you more

I love boxing, its gonna be one of the most sophisticated and scientific fight ever!!

Pacman is a genius and his mix-martial skills are second to none!! But wait, Pretty boy has everything... and his offense is as calculated as a NASA spacecraft launching to the space!!

Lets hope they are take a shot!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom