Halafu mwandosia huwa anajifsnya ni mzalendo na tweet zake za kinafki kwenye tweeterTTCL alieifisadi sana ni MWANDOSYA...huyu ndio aliiuza kifisadi mtoto wake akapewa offa ya kusoma afrika kusini...
Halafu mwandosia huwa anajifsnya ni mzalendo na tweet zake za kinafki kwenye tweeterTTCL alieifisadi sana ni MWANDOSYA...huyu ndio aliiuza kifisadi mtoto wake akapewa offa ya kusoma afrika kusini...
Mkuu acha kutetea uji si kila kitu kinafanyika kwenye cabinet maamuzi mengine ni ya waziri kulingana na katiba tulionayo waziri anaweza kukaa na katibu wake na wakurugenzi na kufsnya jambo lolote wanaloona wao linafaa .ukiangali hii scandle utaona ni madili na CAG na body na watendaji wengineHiyo sio Mwandoysa mwenyewe baraza la mawaziri ya serikali ya awamu ya tatu ilibariki ubinafsishaji wa TTCL
Kutoa ushahidi kwa raia ni kumziba mdomo.Toa ushahidi. Bila ushahidi haya maneno yatakuwa majungu
Pamoja na mimi kutetea uji na wewe tumia akili Inawezekanaje TTCL ipoteze umiliki wa Airtel bila baraka ya uongozi wa juu wa awamu ya tatu.Mkuu acha kutetea uji si kila kitu kinafanyika kwenye cabinet maamuzi mengine ni ya waziri kulingana na katiba tulionayo waziri anaweza kukaa na katibu wake na wakurugenzi na kufsnya jambo lolote wanaloona wao linafaa .ukiangali hii scandle utaona ni madili na CAG na body na watendaji wengine
Kutoa ushahidi kwa raia ni kumziba mdomo.
Wacha aseme awezavyo. Wewe mwenyekuhitaji vielelezo na ushahidi, anza kumchunguza huyo Mwandosya. Ili ukiupata ukweli uje na comments zako kututhibitishia kuwa mhusika unayemkingia kifua, hajatenda 1,2,3.
Sioni kama ngosha atafanikiwa vya kutosha bila kufukua makaburi. Ukiangalia kwa undani madili mengi yamehusisha au yanavibali vya ofisi kuu, mwanasheria mkuu, au baraza la mawaziri. Sasa ngosha kama mkwere amesha sema hatafukua makaburi acha wazee wapunzike wanywe mvinyo wao. Na huko CCM sauti ni ya ngosha tu hivyo sitegemei chochote zaidi ya kile asemacho ngosha.Subiri ngosha afanye mavituz yake.........!!
Watanyooka tu......chezea sukumaland wewe....!!