Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,859
- 20,714
Katika kitabu cha Ufunuo 13:11-18 tunaona jambo la kutisha sana. Katika scenario hii, tunaona mnyama akitoka katika nchi meaning among nations.
Tunaona kwamba huyu mnyama atawafanya wanadamu watiwe chapa katika mikono yao ya kuume na katika vipaji vya nyuso zao ili mtu yeyote asiweze kununua au kuuza isipokuwa kama ana chapa ya huyo mnyama au hesabu ya jina lake.
Kitabu cha ufunuo kinasema aliye na akili na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu hiyo ni mia sita sitini na sita(666).
Katika hali ya kushangaza, Congress ya Marekani imepitisha sheria ya kuwawekea wanadamu RFID chips.
Watch and listen to the following video. Does this make any sense to you and can you connect the dots?
Tunaona kwamba huyu mnyama atawafanya wanadamu watiwe chapa katika mikono yao ya kuume na katika vipaji vya nyuso zao ili mtu yeyote asiweze kununua au kuuza isipokuwa kama ana chapa ya huyo mnyama au hesabu ya jina lake.
Kitabu cha ufunuo kinasema aliye na akili na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu hiyo ni mia sita sitini na sita(666).
Katika hali ya kushangaza, Congress ya Marekani imepitisha sheria ya kuwawekea wanadamu RFID chips.
Watch and listen to the following video. Does this make any sense to you and can you connect the dots?