Kamsemo gani tena hako?
Elimu ndogo kama wewe ndio utaweza mshika mtu jina fake picha fakeTs painfull, but ndo ukweli wenyewe...ukitaka kuprove anzisha fake account umtongozeee mpenzi wako uone majibu
Kamsemo gani tena hako?
...mkuu simplicity usibishane sana na watu kama hao...maana kuna watu wanadhani ukisoma sana basi na mapenzi unayajua au hayawezi kukubabaisha kam umesoma....sio kweli kabisa.....na tena ukileta usomi kwenye mapenzi inaweza kukucost mbaya...mimi nimeona mabo ya facebook na mitandao ya jamii we acha tuUsije kukuta wewe ndio umeishia madrassa au chekechea! Dr.Mo
..haya bana wew mwenye elimu kubwa unajua.....mapenzi na elimu wapi na wapi....wewe kwa akili yako ndogo unaona kama umesoma na mapenzi utakua unayajua zaidi....acha utotoElimu ndogo kama wewe ndio utaweza mshika mtu jina fake picha fake
Usimwekee mpenzi wako mitego mingi ya kumfumania kama huna uwezo wa kumuacha - MwanaJF