Ushuhuda: Madhara mbalimbali ya Vidonge vya Uzazi Wa Mpango

Nilipokuwa 4th year nafanya OB& GY Clerckship niliwahi kumuuliza mwalimu kuhusu papai ... inajulikana kwamba papaya ina uwezo wa kutoa mimba ... je mtu akila papaya after intercorse je inaweza ikawa ni njia nzuri ya birth control ...?! hakunijibu nikasahau kumuuliza badaye but still najiuliza hilo swali...

kila njia ya kuzuia mimba ina side effects zake ... nyingine si kubwa sana nyengine ni kubwa sana inategemea mtu na mtu ! calender ni njia nzuri though pia sio 100% safe

Papai bichi na si lililoiva
 
Papai bichi na si lililoiva

ah! mkuu don't get me wrong aim not sure papaya can be used as a birth control but aim sure it is used to induce abortion na local people also it has been documented papaya can induce abortion esp India... kuhusu as a birth control aim not sure about this

click hii link ya wiki answrs for more info
hapa
 
implanon-377x171.jpg
The contraceptive implant is a small flexible tube that's inserted under the skin of your upper arm. It releases the hormone progestogen to prevent pregnancy.You can have the implant removed at any time, and your natural fertility will return very quickly.

This means that once the implant is removed, you could get pregnant as easily as if you'd never had the implant. It's very useful for women who know they don't want to get pregnant for a while.

Once the implant is in place, you don't have to think about contraception for three year. In the first year after the implant is fitted, your periods may become irregular, lighter, heavier or longer. This usually settles down after the first year. Side Effects ndo hizi-A common side effect of the implant is that your periods stop (amenorrhoea).

It's not harmful, but you may want to consider this before deciding to have an implant.
 
Na kama siku zako zimetofautiana sana yaan hazieleweki njia ipi ni salama? Kwakua calendar hapa nadhani itasumbua? Naomba ushauri tafadhali

Nadhani njia hii ni bora kwa vile yai likikaribia kuangua dalili za ute mgumu hujitokeza, ukishaona hivyo uwe na tahadhari na pengine bora kusitisha kaibisa. Na ute laini ukishaanza ujue red tag, la sivyo ukavu ni salama zaidi for 95%.
 
Je somo la jinsi ya kutumia hiyo kalenda mmetoa? Au ni assuming tu kuwa kila mtu anajua matumizi ya kalenda.
 
Mpwa ujumbe wako umekuja wakati muafaka kabisa, naomba unishauri sasa njia gani tutumie na shemeji yako maana hii imenitisha sana, ntafurahi kama utanijibu kwa PM au hata hapa hapa jamvini ili na wengine wafaidi, maana najua wako wengi
ni kwelu tupo kibao woga tele
 
Je kuna njia ya kuondoa hiyo sumu mwilini kama mtu anahitaji kubadili njia na kutumia Calender ili isije kuwa unatumia Calender na kiwango cha sumu mwilini kianaendelea kuongezeka kutokana na PILLS ulizikwisha kutumia.
Sababu nahisi hii ni tatizo kwa my wife coz tunapiga yale mambo yetu ili tufanye product lakini hakuna matokeo chanya
yaani hadi nimefanya kama ndio home work yangu after job nikupiga mambo yetu tu hadi sasa napungua uzito bila mafanikio.
 
Je kuna njia ya kuondoa hiyo sumu mwilini kama mtu anahitaji kubadili njia na kutumia Calender ili isije kuwa unatumia Calender na kiwango cha sumu mwilini kianaendelea kuongezeka kutokana na PILLS ulizikwisha kutumia.
Sababu nahisi hii ni tatizo kwa my wife coz tunapiga yale mambo yetu ili tufanye product lakini hakuna matokeo chanya
yaani hadi nimefanya kama ndio home work yangu after job nikupiga mambo yetu tu hadi sasa napungua uzito bila mafanikio.

Umeuliza swali zuri sana. Wengi wenye kutumia hizi pills za majira pengine huchanganyikiwa na wengine hata kuvunja mahusiano kwa sababu ya kuhangaika kupata kiumbe kipya bila mafanikio. Ukweli sumu hubaki muda mrefu, na kama huna subira unaweza kufanya makosa kuchukua uamuzi wa haraka na ukashtukia baadaye unapata nafsi ya yai kurutubishwa vizuri, hili wengi limewatokea sana, ila yataka uvumilivu na uelewa. Hii inawasaidia zaidi uwezekana wa kupata kwa vijana wenye umri mdogo chini ya 30, lakini ukianza kutumia pills hizo umri kuanzia 30 and up wengi hupata shida kurudisha neema ya kurutubishiwa.

Kutoa sumu mwilini kwa namna fulani ni kuongeza sumu nyingine kwa kumia pills ambazo zinaweza zikafanya mchanganyiko wa madawa kutengeneza kitu kingine chenye kukuletea madhara mengine. Labda cha msingi ni kujiepusha na matumizi ya pills na hivyo kutumia njia ya kalenda ambapo for 100% haikuletei madhara kama ya utumiaji wa njia nyiingine.
 
hizi njia kwa kweli si nzuri zina madhara, ni bora kuwa makini na utumiaji wa kalenda tu. mimi pia nina mifano ya wadada watatu waliopata madhara kutokana na njia za uzazi wa mpango. wawili walitumia kijiti au kipandikizi na mmoja alitumia sindano.
 
Mkuu Candid scope, mi nikupongeze kwa maelezo yako mazuri, ubarikiwe sana mkuu, kusema ukweli haya ni moja ya madudu nisiyoyapenda kabisa maishani. Mi na wife hatutumii kabisa madudu hayo, tunafuatilia tu kalenda na ku-withdraw out pale tarehe zinapokaribia.
 
wakuu wa msaada vp? mwanamke ambae anatumia kalenda alafu anasumbuliwa na tatizo la kwenda hedhi almost two weeks sasa naomba msaada wenu
 
wadau nini sababu ya breeding inayochukua zaidi ya wiki mbili kwa msichana ambae hajawahi kutumia njia ya uzazi wa mpango
 
Mi nilipojifungua mtoto wangu wa pili mwaka 2005 nilichoma sindano fasta,zile za miezi mitatu!weh!nilikuwa mkavu mfano hakuna !yani full kukauka jamaa akijionea cha kufia nini!TUPA KULE!

Zilivousha muda wake sikuchoma tena, lakini sikuwa na amani nikaenda tena hospitali nikaambiwa vijiti ni poa. nikaweka vyenyewe havikuwa na shida ile ila sasa nilinenepaje!yani kilo 90 ilikuwa ndo wimbo wa taifa!nilikaa nazo miaka 3 nikaona mh!hebu nivitoe basi nikatoa mwaka 2009,since niliona imetosha nataka kuongeza mtoto.

mh mpaka leo hakuna cha kuconcieve wala nini!imenisumbuaaa lakini mwisho nimeshakubali matokeo!nasubiri tu itakapompendeza YEYE!
though najua nilishaharibu cycle yangu kwa kuweka hayo mavitu lakini karibu mwaka sasa imekaa sawa!so naamini kitatiki tu Mungu bariki!

ila kusema ukweli haya madude sio mazuri basi tu watu tunapenda short cut kwenye kila kitu!kutumia kalenda ndo mpango mzima since

-inaongeza ukaribu wa wanandoa(how sweet kusubiriana):biggrin:
-inamsaidia mwanamke kujitambua mwili wake
-inaongeza kiwango cha kuwajibika
-inampa mwanamke na mwanaume utashi juu ya miii yao!
 
Mkuu zubedayo_mchuzi, kulinfaba ba mwanzo ulivyosema "wale waliotumia"..niseme wazi sijawahi kutumia ...LAKINI

-Mbona madhara haya yanafahamika au unaongelea lipi?
-Si kuna njia nyingi za uzazi wa mpango?
-Dawa YEYOTE ile ina madhara.. ni kwa kiwango gani cha madhara?Ndani ya muda gani kutarajia madhara hayo, je mtumiaji alipata ushauri(wa aina za njia za uzaxi wa mpango, madhara n.k) kabla ya kutumia ndiyo issue nadhani.

-
 
Mi nilipojifungua mtoto wangu wa pili mwaka 2005 nilichoma sindano fasta,zile za miezi mitatu!weh!nilikuwa mkavu mfano hakuna !yani full kukauka jamaa akijionea cha kufia nini!TUPA KULE!
zilivousha muda wake sikuchoma tena
lakini sikuwa na amani nikaenda tena hospitali
nikaambiwa vijiti ni poa
nikaweka vyenyewe havikuwa na shida ile ila sasa nilinenepaje!yani kilo 90 ilikuwa ndo wimbo wa taifa!nilikaa nazo miaka 3 nikaona mh!hebu nivitoe basi nikatoa mwaka 2009,since niliona imetosha nataka kuongeza mtoto
mh mpaka leo hakuna cha kuconcieve wala nini!imenisumbuaaa lakini mwisho nimeshakubali matokeo!nasubiri tu itakapompendeza YEYE!
though najua nilishaharibu cycle yangu kwa kuweka hayo mavitu lakini karibu mwaka sasa imekaa sawa!so naamini kitatiki tu Mungu bariki!
ila kusema ukweli haya madude sio mazuri basi tu watu tunapenda short cut kwenye kila kitu!kutumia kalenda ndo mpango mzima since
-inaongeza ukaribu wa wanandoa(how sweet kusubiriana):biggrin:
-inamsaidia mwanamke kujitambua mwili wake
-inaongeza kiwango cha kuwajibika
-inampa mwanamke na mwanaume utashi juu ya miii yao!

Pole mamito,nimemsikia dada halima ameongea mpaka analia,alilazwa sewahaji ,amepelekwa pale mapigo ya Moyo hana,wakamwacha kdg kumpima wakayapata,ameleza kifupi baada ya kupimwa mimba kwa utra sound hakuna,mkojo hakuna,damu inaonekana ipo,akaacha kuongea.
Pole sana dada Mungu atakusaidia.
Kuna haja ya kudai fidia.
 
Mkuu zubedayo_mchuzi, kulinfaba ba mwanzo ulivyosema "wale waliotumia"..niseme wazi sijawahi kutumia ...LAKINI

-Mbona madhara haya yanafahamika au unaongelea lipi?
-Si kuna njia nyingi za uzazi wa mpango?
-Dawa YEYOTE ile ina madhara.. ni kwa kiwango gani cha madhara?Ndani ya muda gani kutarajia madhara hayo, je mtumiaji alipata ushauri(wa aina za njia za uzaxi wa mpango, madhara n.k) kabla ya kutumia ndiyo issue nadhani.

-

Hawa ni wale walioshauriwa kwenye vituo vya afya na kupata madhara hayo,Soma snowhite alivyo confes,tuache siasa yapo yamekukuta..
 
madhara inategemea na mwili wa mtu, mimi sindano zilinifanya nikae bila kublee for 5 yrs coz nilikuwa sitaki kuzaa nikaona poa, nilipozaa last born 03 nikaamua kufunga kizazi ila kwa sasa kiuno kinanisumbua mno.
 
Back
Top Bottom