Conclusion, Dr Shika afanye press conference naJF membaz maswali,comments tutoe kwa Dr na hitimisho kumchangia chochote

emmanuel mhecha

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
933
542
Wandugu huyu bwana Dr Shika ameitikisa Tanzania,na mpaka sasa wengi hawajapata wanachotaka kujua kwa Dr nikiwemo Mimi, nikifuatilia interview zote kuna Giza bado juu ya maisha yake Kule Russia,
Maoni yangu je hatuwezi kuweka press conference ukumbi wowote na huyu Dr ili hizi comments zote zjibiwe na yeye,
Na ndipo tupate hitimisho na kumchangia Pesa kwani kwa hatua aliyopitia anastahili kusaidiwa sana.
 
Ishara inaonesha ubalozi washaramba kitambo tu mzigo wake, ukimsoma Chokala kuna maswali mengi mno. Ila mwandishi aliyemuhoji Chokala ni bogasi sana
 
Ishara inaonesha ubalozi washaramba kitambo tu mzigo wake, ukimsoma Chokala kuna maswali mengi mno. Ila mwandishi aliyemuhoji Chokala ni bogasi sana
Nakuunga mkono, yule mwandishi aliemhoji huyo balozi ameacha maswali mengi sana bila majibu!
 
Wandugu huyu bwana Dr Shika ameitikisa Tanzania,na mpaka sasa wengi hawajapata wanachotaka kujua kwa Dr nikiwemo Mimi, nikifuatilia interview zote kuna Giza bado juu ya maisha yake Kule Russia,
Maoni yangu je hatuwezi kuweka press conference ukumbi wowote na huyu Dr ili hizi comments zote zjibiwe na yeye,
Na ndipo tupate hitimisho na kumchangia Pesa kwani kwa hatua aliyopitia anastahili kusaidiwa sana.

Bwana usiharibu hivi vibwagizo. Ni wale wale.
 
Nakubaliana na wewe. Dr kuna kitu hajakisema na hajakiweka wazi.

1. Alipata wapi mtaji wa kuanzisha a very successful business within a short period of time baada ya kumaliza shule?

2. Ilikuaje ubalozi wa marekani wajihusishe kumtorosha kutoka urusi tena kwa ndege ya malkia wa uholanzi hadi Armsterdam na kisha kuja Dar kama anavyosema.

3. Baada ya kufika hapa nchi alipata wapi nauli ya kumpeleka Malaga Hispania na akaweza kuishi huko kwa miaka 8 hafi aliporudi nchini mwaka 2013.

4. Kwa nini baada ya kutoroka toka Urusi bado amekua na wasiwasi kua warusi watamtafta popote alipo wamuue, wasiwasi wake ni wa nini? Kweli vibaka wanaweza kukufuatilia hadi nje ya nchi wakuue?!

5. Anasema warusi wana chuo cha kufundisha jinsi ya kuua, tena anataja KGB ambayo ni taasisi ya serikali, je alitekwa na KGB au alitekwa na vibaka, vibaka gani wanaweza kusomea chuo kikuu jinsi ya kuua mtu na jinsi ya kumtesa?

6. Anasema hataki kuwasiliana na mke wake wasije kumtambua alipo, kwamba simu zote zinarekodiwa ziazotoka nje, hao ambao anahofu kua watamjua alipo ni wale vibaka waliomteka au watu wengine, vibaka wanawezaje kurekodi au kuingilia mawasiliano ya watu toka nje ya nchi?

7. Dr alikimbilia hispania ili kupoteza ushahidi wa uwepo wake, kisha akarudi Tanzania ili kuwapoteza tena kama wanadhani yuko hispania, ni kina nani hao ambao dr anawakimbia kiasi hicho, wale vibaka waliomteka au wengine?

Dr ana kitu hataki kukisema. Kuna kitu kimejificha nyuma yake.

Zaidi Dr ni loser, huwezi kwenda kusoma ukalowea huko ukasahau hata wazazi wako.
 
Nakubaliana na wewe. Dr kuna kitu hajakisema na hajakiweka wazi.

1. Alipata wapi mtaji wa kuanzisha a very successful business within a short period of time baada ya kumaliza shule?

2. Ilikuaje ubalozi wa marekani wajihusishe kumtorosha kutoka urusi tena kwa ndege ya malkia wa uholanzi hadi Armsterdam na kisha kuja Dar kama anavyosema.

3. Baada ya kufika hapa nchi alipata wapi nauli ya kumpeleka Malaga Hispania na akaweza kuishi huko kwa miaka 8 hafi aliporudi nchini mwaka 2013.

4. Kwa nini baada ya kutoroka toka Urusi bado amekua na wasiwasi kua warusi watamtafta popote alipo wamuue, wasiwasi wake ni wa nini? Kweli vibaka wanaweza kukufuatilia hadi nje ya nchi wakuue?!

5. Anasema warusi wana chuo cha kufundisha jinsi ya kuua, tena anataja KGB ambayo ni taasisi ya serikali, je alitekwa na KGB au alitekwa na vibaka, vibaka gani wanaweza kusomea chuo kikuu jinsi ya kuua mtu na jinsi ya kumtesa?

6. Anasema hataki kuwasiliana na mke wake wasije kumtambua alipo, kwamba simu zote zinarekodiwa ziazotoka nje, hao ambao anahofu kua watamjua alipo ni wale vibaka waliomteka au watu wengine, vibaka wanawezaje kurekodi au kuingilia mawasiliano ya watu toka nje ya nchi?

7. Dr alikimbilia hispania ili kupoteza ushahidi wa uwepo wake, kisha akarudi Tanzania ili kuwapoteza tena kama wanadhani yuko hispania, ni kina nani hao ambao dr anawakimbia kiasi hicho, wale vibaka waliomteka au wengine?

Dr ana kitu hataki kukisema. Kuna kitu kimejificha nyuma yake.

Zaidi Dr ni loser, huwezi kwenda kusoma ukalowea huko ukasahau hata wazazi wako.
Haya maswali ndio yaliyo takiwa kuhojiwa hapo mwanzo na hata sasa pia kwa ninavyo fikiri kuna mengi nyuma ya hii tarifa ya Doctor shika.
 
Nakubaliana na wewe. Dr kuna kitu hajakisema na hajakiweka wazi.

1. Alipata wapi mtaji wa kuanzisha a very successful business within a short period of time baada ya kumaliza shule?

2. Ilikuaje ubalozi wa marekani wajihusishe kumtorosha kutoka urusi tena kwa ndege ya malkia wa uholanzi hadi Armsterdam na kisha kuja Dar kama anavyosema.

3. Baada ya kufika hapa nchi alipata wapi nauli ya kumpeleka Malaga Hispania na akaweza kuishi huko kwa miaka 8 hafi aliporudi nchini mwaka 2013.

4. Kwa nini baada ya kutoroka toka Urusi bado amekua na wasiwasi kua warusi watamtafta popote alipo wamuue, wasiwasi wake ni wa nini? Kweli vibaka wanaweza kukufuatilia hadi nje ya nchi wakuue?!

5. Anasema warusi wana chuo cha kufundisha jinsi ya kuua, tena anataja KGB ambayo ni taasisi ya serikali, je alitekwa na KGB au alitekwa na vibaka, vibaka gani wanaweza kusomea chuo kikuu jinsi ya kuua mtu na jinsi ya kumtesa?

6. Anasema hataki kuwasiliana na mke wake wasije kumtambua alipo, kwamba simu zote zinarekodiwa ziazotoka nje, hao ambao anahofu kua watamjua alipo ni wale vibaka waliomteka au watu wengine, vibaka wanawezaje kurekodi au kuingilia mawasiliano ya watu toka nje ya nchi?

7. Dr alikimbilia hispania ili kupoteza ushahidi wa uwepo wake, kisha akarudi Tanzania ili kuwapoteza tena kama wanadhani yuko hispania, ni kina nani hao ambao dr anawakimbia kiasi hicho, wale vibaka waliomteka au wengine?

Dr ana kitu hataki kukisema. Kuna kitu kimejificha nyuma yake.

Zaidi Dr ni loser, huwezi kwenda kusoma ukalowea huko ukasahau hata wazazi wako.
Naunga mkono hoja.
Dr Shika aitishe press conference
 
Mie nataka niwajue hao wanae tu ambao alisema anao kwa Tanzania, marekani na Russia je ana mawasiliano nao au
 
Nakubaliana na wewe. Dr kuna kitu hajakisema na hajakiweka wazi.

1. Alipata wapi mtaji wa kuanzisha a very successful business within a short period of time baada ya kumaliza shule?

2. Ilikuaje ubalozi wa marekani wajihusishe kumtorosha kutoka urusi tena kwa ndege ya malkia wa uholanzi hadi Armsterdam na kisha kuja Dar kama anavyosema.

3. Baada ya kufika hapa nchi alipata wapi nauli ya kumpeleka Malaga Hispania na akaweza kuishi huko kwa miaka 8 hafi aliporudi nchini mwaka 2013.

4. Kwa nini baada ya kutoroka toka Urusi bado amekua na wasiwasi kua warusi watamtafta popote alipo wamuue, wasiwasi wake ni wa nini? Kweli vibaka wanaweza kukufuatilia hadi nje ya nchi wakuue?!

5. Anasema warusi wana chuo cha kufundisha jinsi ya kuua, tena anataja KGB ambayo ni taasisi ya serikali, je alitekwa na KGB au alitekwa na vibaka, vibaka gani wanaweza kusomea chuo kikuu jinsi ya kuua mtu na jinsi ya kumtesa?

6. Anasema hataki kuwasiliana na mke wake wasije kumtambua alipo, kwamba simu zote zinarekodiwa ziazotoka nje, hao ambao anahofu kua watamjua alipo ni wale vibaka waliomteka au watu wengine, vibaka wanawezaje kurekodi au kuingilia mawasiliano ya watu toka nje ya nchi?

7. Dr alikimbilia hispania ili kupoteza ushahidi wa uwepo wake, kisha akarudi Tanzania ili kuwapoteza tena kama wanadhani yuko hispania, ni kina nani hao ambao dr anawakimbia kiasi hicho, wale vibaka waliomteka au wengine?

Dr ana kitu hataki kukisema. Kuna kitu kimejificha nyuma yake.

Zaidi Dr ni loser, huwezi kwenda kusoma ukalowea huko ukasahau hata wazazi wako.
sure
 
Back
Top Bottom