Computer eng. V/S Telecom eng.

The_Emperor

JF-Expert Member
Mar 23, 2012
871
125
Wadau,ninaomba kupata ufafanuzi kuhusu soko la ajira kati ya fields hizo mbili za engineering.Ipi ni marketable kwa sasa?
 
Hamna kitu kama Computer Engineering. Labda tu kama na wewe unataka kuwa Mhandisi wa KATA.

Utauziwa paka kwenye gunia kijana.
 
kwan uandisi ni telecom na comp
may be u should opt for something alse
soko lsha converge bwana mkubwa
check vitu kama textile engineering na vingine
 
Mwenzetu umeisha jua kuwa utafaulu kwenye matokeo yako ya form 6?
 
Wadau,ninaomba kupata ufafanuzi kuhusu soko la ajira kati ya fields hizo mbili za engineering.Ipi ni marketable kwa sasa?

dogo fanya mpango uende udsm ukaulize kuhusu hizo field mbili achana na story za vijiweni, kama unataka kutoka ki-life wewe piga Textile engineering, actuarial science au computer science hizo ni udsm. Kama unataka ardhi,mzumbe na sua sema upewe ushauri. Telecom kwa sasa labda usome uwe tutorial asistant lakini ajira zake sio nzuri kwa sasa tofauti na enzi zile maana wengi wanamaliza wanakuwa wajasiriamali mpaka watoke nyundo kibao huku wenzao waliopiga course za 3 yrs wana-drive magari tu mjini na ajira motomoto

kuhusu computer eng haina tofauti na computer science ila wanafunzi wa bongo wanapenda ku-complicate maisha ila wakifika mwaka wa tatu wanajuta duh ningejua ningechukua computer science (cos). Halafu we bado dogo ujui vitu so unapopewa ushauri usiwe na ghadhabu just read and interprete the advices very careful cuz it all about your career and your life as well.
 
dogo fanya mpango uende udsm ukaulize kuhusu hizo field mbili achana na story za vijiweni, kama unataka kutoka ki-life wewe piga Textile engineering, actuarial science au computer science hizo ni udsm. Kama unataka ardhi,mzumbe na sua sema upewe ushauri. Telecom kwa sasa labda usome uwe tutorial asistant lakini ajira zake sio nzuri kwa sasa tofauti na enzi zile maana wengi wanamaliza wanakuwa wajasiriamali mpaka watoke nyundo kibao huku wenzao waliopiga course za 3 yrs wana-drive magari tu mjini na ajira motomoto

kuhusu computer eng haina tofauti na computer science ila wanafunzi wa bongo wanapenda ku-complicate maisha ila wakifika mwaka wa tatu wanajuta duh ningejua ningechukua computer science (cos). Halafu we bado dogo ujui vitu so unapopewa ushauri usiwe na ghadhabu just read and interprete the advices very careful cuz it all about your career and your life as well.

ebu mshauri na hzo za ardhi na Sua?
 
dogo fanya mpango uende udsm ukaulize kuhusu hizo field mbili achana na story za vijiweni, kama unataka kutoka ki-life wewe piga Textile engineering, actuarial science au computer science hizo ni udsm. Kama unataka ardhi,mzumbe na sua sema upewe ushauri. Telecom kwa sasa labda usome uwe tutorial asistant lakini ajira zake sio nzuri kwa sasa tofauti na enzi zile maana wengi wanamaliza wanakuwa wajasiriamali mpaka watoke nyundo kibao huku wenzao waliopiga course za 3 yrs wana-drive magari tu mjini na ajira motomoto

kuhusu computer eng haina tofauti na computer science ila wanafunzi wa bongo wanapenda ku-complicate maisha ila wakifika mwaka wa tatu wanajuta duh ningejua ningechukua computer science (cos). Halafu we bado dogo ujui vitu so unapopewa ushauri usiwe na ghadhabu just read and interprete the advices very careful cuz it all about your career and your life as well.

Mkubwa nimekuelewa.Uzidi kubarikiwa.
 
Mdogo wangu mimi ni mdau wa coict/coet najua vizuri sana hizo kozi.
Mi nakushauri usome comp eng maana iko katikati kati ya comp sci na telecom.
kama utapenda networks basi mwaka wa tatu na nne utaopt networks au kozi za telecom na kama utatokea ukawa kipanga darasani basi utasukuma code na utaopt kozi za comp sci.
Cha ajabu ambacho nimekisoma sokoni ukisoma comp eng unaweza kuwa transmission eng au programmer au network eng.. Kwa kifupi Comp Eng itakuweka katika wakati mzuri kwenye ajira. Halafu kama kazi zinatoka kampuni za simu,transmission au mengine yahusio utajikuta unafaaa kila kona mdogo wangu.
Usisome kitu so specific kiasi kwamba utashindwa ku move btwn fields before specilization.
All the Best kaka
 
Soma Computer Science...unless kama unataka ujiko wa kuitwa Engineer so and so...:smile-big:....nafikiri ukisoma Computer Science na ukajaribu kufanya vizuri darasani lakini pia kuchukua muda wako kujifunza programming na skills nyingine tofauti tofauti basi unaweza kukamata ajira nzuri na kufanikiwa sana tu!
 
Back
Top Bottom