GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Wadau mimi sijawahi kukata comprehensive insurance, mara zote huwa nakata third part,
Nimesikia kuwa ukikata comprehensive, hata kama umegonga, gari imeibiwa, moto ukitokea, unalipwa na hakuna mizengwe. Naomba kujuwa kama kuna ukweli juu ya hili kabla sijaingia gharama ya kukata, na pia ningependa kujua kampuni gani ya bima ndio nzuri kwa hapa Bongo
Nimesikia kuwa ukikata comprehensive, hata kama umegonga, gari imeibiwa, moto ukitokea, unalipwa na hakuna mizengwe. Naomba kujuwa kama kuna ukweli juu ya hili kabla sijaingia gharama ya kukata, na pia ningependa kujua kampuni gani ya bima ndio nzuri kwa hapa Bongo