Commonwealth Games 2010-INDIA

Steve Dii

JF-Expert Member
Jun 25, 2007
6,402
1,254
commonwealth-games-2010.jpg


Nilikuwa naangalia taarifa za habari kwenye luninga jana kuhusiana na michezo ya Jumuiya ya Madola, utani pembeni, jamaa wamechemsha vibaya sana. Yawezekana kabisa michezo safari hii isiendelee. Sasa ukijumuisha hii habari za uchafu na vivuko kubomoka, habari kwamba akina Husein Bolt na Assafa Powel hawatakuwepo zinafanya mvuto uliozoeleka na unaotegemewa kwa michezo kama hii upungue kwa kiwango kikubwa sana. Na hii leo nasikiliza BBC World wanasema kuna baadhi ya wanamichezo wa baadhi za nchi wamesha anza kuchomoa.

Mimi nilitegemea kikwazo kikubwa kitakuwa ughaidi, lakini jingine kabisaa ndiyo limejitokeza. Je, michezo itaendelea au itaairishwa?! One for the bookies!!
 
Nilikuwa naangalia taarifa za habari kwenye luninga jana kuhusiana na michezo ya Jumuiya ya Madola, utani pembeni, jamaa wamechemsha vibaya sana. Yawezekana kabisa michezo safari hii isiendelee. Sasa ukijumuisha hii habari za uchafu na vivuko kubomoka, habari kwamba akina Husein Bolt na Assafa Powel hawatakuwepo zinafanya mvuto uliozoeleka na unaotegemewa kwa michezo kama hii upungue kwa kiwango kikubwa sana. Na hii leo nasikiliza BBC World wanasema kuna baadhi ya wanamichezo wa baadhi za nchi wamesha anza kuchomoa.

Mimi nilitegemea kikwazo kikubwa kitakuwa ughaidi, lakini jingine kabisaa ndiyo limejitokeza. Je, michezo itaendelea au itaairishwa?! One for the bookies!!

Nadhani ni muda wa kutafakari na kuisifu tena SA kwa kuandaa one of the most successful soccer world cup!
 
Na hii inathibitisha kwamba India pamoja na mafanikio yake bado iko nyuma sana, mambo mengi yanaendeshwa kama ndivyo tulivyo - Corruption kwa saana!
 
Na hii inathibitisha kwamba India pamoja na mafanikio yake bado iko nyuma sana, mambo mengi yanaendeshwa kama ndivyo tulivyo - Corruption kwa saana!

Culture ya kufichana fichana inapogongana uso kwa uso na corruption, hayo ndiyo matokeo yake. Haiingii kichwani jamaa walipewa miaka 7 kujiandaa, lakini mpaka jana bado kulikuwa na watu wenye matoroli wakibeba zege kwenye complex siku mbili kabla ya wanamichezo kuwasili!!
 
Culture ya kufichana fichana inapogongana uso kwa uso na corruption, hayo ndiyo matokeo yake. Haiingii kichwani jamaa walipewa miaka 7 kujiandaa, lakini mpaka jana bado kulikuwa na watu wenye matoroli wakibeba zege kwenye complex siku mbili kabla ya wanamichezo kuwasili!!

Tatizo mtu ukipewa time limit ya miaka kama hiyo unakuwa unajipa moyo na kusema kuwa miaka saba ni mingi sana by that time nitakuwa nimemaliza they should have learnt form SA kwa kuandaa successful WORLD CUP
 
Culture ya kufichana fichana inapogongana uso kwa uso na corruption, hayo ndiyo matokeo yake. Haiingii kichwani jamaa walipewa miaka 7 kujiandaa, lakini mpaka jana bado kulikuwa na watu wenye matoroli wakibeba zege kwenye complex siku mbili kabla ya wanamichezo kuwasili!!

Hilo ndio tatizo la wadosi na itakuwa tabu sana kwa wao kuendelea. Kuna matajiri watakao ibuka huko, lakini majority of the population will suffer. That class thing and inborn corruption will continue to hold them back. This is why I distrust them as investors in Tanzania...They will bring nothing of value to us, only corruption and discrimination.

Jana daraja limeanguka hapo uwanjani, wana sema guesthouse za wana michezo zimejaa maji...yani it is a typical situation of bad management/corrupt government!
 
Nilikuwa naangalia taarifa za habari kwenye luninga jana kuhusiana na michezo ya Jumuiya ya Madola, utani pembeni, jamaa wamechemsha vibaya sana. Yawezekana kabisa michezo safari hii isiendelee. Sasa ukijumuisha hii habari za uchafu na vivuko kubomoka, habari kwamba akina Husein Bolt na Assafa Powel hawatakuwepo zinafanya mvuto uliozoeleka na unaotegemewa kwa michezo kama hii upungue kwa kiwango kikubwa sana. Na hii leo nasikiliza BBC World wanasema kuna baadhi ya wanamichezo wa baadhi za nchi wamesha anza kuchomoa.

Mimi nilitegemea kikwazo kikubwa kitakuwa ughaidi, lakini jingine kabisaa ndiyo limejitokeza. Je, michezo itaendelea au itaairishwa?! One for the bookies!!


Naskia Wahindi wamekula 'mpunga' wa ujenzi.

Leo nimeskia Selemani Nyambui (kupitia Michezo na VodaCom (RFA) anasema wao hawana tatizo watakwenda tu. Suala la mazingira na afya siyo ishu. Timu ya Tanzania lazima iende Delhi.

Lakini kwa uwezo wangu wa kufikiri niliopewa na walimu wangu skuli, niligundua kuwa jamaa anapressure? Kwa vipi mashindano yasiwepo? Kwa nini wazungu wanaweka nuksi ya kujiondoa? [Kina Nyambui]Watakula wapi?

Hicho ndicho kilicho kichwani mwake. Timu iende hata kama mazingira ni machafu na yanahatarisha afya za wachezaji. Ili mradi wapewe mpunga wa safari. Suala la michezo kufanyika katika mazingira hatarishi kwake siyo ishu.

Watu wanaojua michezo na afya hazitengamani walishaanza kuchomoa timu zao.
 
Mimi nasikitika sana ninapoona eti tunawauzia viwanda vyetu hawa watu au tunawakaribisha as investors hawa PONJORO aka *********Z. hawana lolote si mmeona wenyewe pale TRL, hakuna lolote lililoendelea, kwanza wao ndo WACHAKACHUAJI WAKUBWA wa biashara hawa. Rushwa iko mbele sana kwao, halafu sio Wazalendo hata kidogo. mtakuwa naye hapa kama raia lkn siku moja utakuja sikia kafia CANADA anazikwa hhuko ukiuliza utaambiwa eti ni raia wa Canada km yule aliyewahi kuwa waziri wa fedha/viwanda enzi za Mwalimu kama sikosei Amir jamal alifia Canada akazikwa huko watu walipohoji wakaambiwa ni raia wa Canada. sasa naona wameamua kuonyesha kuwa wao ndo Tapeliz namba moja wanafanya dili hadi viwanja vyao wenyewe.
 
Mie sijui kupost picha ila namshauri waziri wa michezo atafakari kwanza kabla hawajapanda ndege kwenda India. Hebu tizameni hizo picha hapo it is typical indians at the city centre dar-es-salaam maji machafu barabarani na vyoo kufurika.

BBC Sport - Commonwealth Games: Athletes' village photos

Hawa jamaa ni wasanii na wachafu wanapenda vitu vya bei chee na utapeli mwingi!!!. Raj Patel JR yumo na wenzie watuambie Indians bwana ni matapeli hakuna kengine!!!
 
kwani uchafu tu? security concern nayo ni issue!
wala sitashangaa michezo hii ikaandika historia kama ya Munich Olympics 1972.
 
Tatizo lingine, hawa jamaa wanapenda sifa sana, na pia ni waongo, na this time imekula kwao,
 
Anyone who has been to that country knows that they have about as much organisational ability as TZ.
 
kwani uchafu tu? security concern nayo ni issue!
wala sitashangaa michezo hii ikaandika historia kama ya Munich Olympics 1972.


article-1314487-0B50BAEF000005DC-808_634x468.jpg


Horrific: Dirt is plastered over the sink and toilet in this bathroom



article-1314487-0B50BC91000005DC-800_634x527.jpg





Filthy: Another sink is left covered in muck at the athletes' village


article-1314487-0B50BDD1000005DC-976_634x467.jpg


Shocking: A shower is left caked in filth in Delhi





article-1314487-0B50E0CF000005DC-749_634x423.jpg


Horrors: A mattress on a bed is covered in paw prints


article-1314487-0B512B56000005DC-853_634x417.jpg




Race against time: Labourers pull a hand cart in Delhi


Lakini bado viongozi wengi wa Bongo wanakwenda kutibiwa huko katika hayo mazingira.
 
article-1314487-0B50BAEF000005DC-808_634x468.jpg


Horrific: Dirt is plastered over the sink and toilet in this bathroom



article-1314487-0B50BC91000005DC-800_634x527.jpg





Filthy: Another sink is left covered in muck at the athletes' village

Lakini bado viongozi wengi wa Bongo wanakwenda kutibiwa huko katika hayo mazingira.

e bana eeee!!! hii ni noma sana! Nyambui eti anasemaje? iwe isiwe watakwenda tu? wasijerudi na kipindu pindu tu, Hivi kweli unaweza pata hamu ya kupiga mswaki au kunawa uso hapo?

Mimi wasiwasi wangu zaidi 'Pakistani Talibans' na masalia ya 'Tamil Tigers' wa Sri Lanka, wana donge nao hawa!
 
Monkeys called in to scare, er, monkeys at Commonwealtwealth Games........

140041-langurs-monkeys.jpg

Langurs monkeys (pictured) have been called in to keep smaller local monkeys at bay. Photo: AP Source: News Limited

COMMONWEALTH Games officials in Delhi have stopped monkeying around when it comes to rogue animals.

They've sent in the snake wranglers - hired big monkeys to scare off the little monkeys - and issued a "shoot on sight" edict for wild dogs.
That just leaves the cows, but as they are considered holy, there's not too much that can be done about them.

Concerned that bands of rogue monkeys might invade VIP areas (including the much maligned athletes village) the organisers have called in a crack team of langurs to keep their smaller, shorter-tailed cousins at bay.
Langurs are larger than the wild monkeys that roam Delhi and it is said they can scare the skin off a banana.

The New Delhi Municipal Council has 10 langur handlers on fullltime staff to keep the wild monkeys in their place, but with the Games just around the corner they've sent for reinforcements. There are now 38 langurs on the job, with half a dozen sent in to clean out the athletes village.

So that's the cobra and monkeys taken care of, but of course there is the risk that the langurs sent in to frighten off the monkeys might get to like the athletes village themselves and so something will have to found to scare them off.

Maybe a cobra ...

As for the elephant crisis, tourists should not fear. The beast at the centre of that shemozzle is only a couple of centimetres tall and about 15,000 kilometres away from Delhi in a game park near Durban.
And that's the trouble. Indian tourist officials yesterday published a full page colour advertisement advising international visitors to the Games of all the wonderful sights they could enjoy around Delhi. One attraction was looking at an Indian elephant. Unfortunately the picture used was of an African elephant.
For the red-faced Commonwealth Games officials, it is just another embarrassment in what is fast becoming a sequel to the George Orwell classic Animal Farm.
It all started when a snake catcher was called after the South Africans moved into their quarters at the athletes village and found a cobra.
To which tourists here might have said, "lucky you". After all, the sight of a snake charmer piping a cobra out of a basket in the Old Delhi section of the city is a much sought after attraction. Or it was, before officials decided to clean them all out a few months ago.
They issued a similar order about the thousands of stray dogs that also infest the area. A quick wander through the narrow streets and alleyways of Old Delhi yesterday suggested that officials have been a lot more successful getting rid of the snakes than they have of the dogs.
Yesterday there were unconfirmed reports that, very early one morning, a foreign journalist had spotted a person asleep on a busy road next to an equally comatose cow - the reasoning being that the man knew the traffic wouldn't bother him because no-one would drive into a cow (our theory is that it was the journalist asleep on the street and the cow he saw was actually a pink elephant).
Other animals we spotted on our travels were two pigs drinking out of a fetid stream next to a railway line, and a family of squirrels running up and down a drainpipe in Old Delhi
 
Haki ya nani tena kuna article zinachekesha.... duuh!!!:becky::becky:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom