Mnwele
Senior Member
- Feb 4, 2010
- 162
- 100
Umenena tumekusikia:
Baadhi ya sehemu na nukuu ulizokazia ni pale unaposema ANAYETAKA UONGOZI WA NCHI HII ASUBIRI HADI 2015....childish statement.
Entirely this is an oblique statement and it clearly shows the political inclination that you big gugs have.
Umejaribu kueleza namba ambavyo ungetegemea good conduct kutoka kwa mtu aliyesoma na Kiongozi mkuu...ulikuwa unamrefer Mbowe possibly... na ukaendelea kwamba you would expect such statement to have come/committed from a mere..normal and hopeless guy comingling within Kariakoo... thats your freedom of expression but coming to your own statement....ni kama vile ulikuwa unaruka kinyesi cha mtu na kukanyaga mkojo...the vice versa is true..
Unaposema watu wasubiri 2015 inaashiria namna unavyolink movement ya some political dons kama CHADEMA towards the dialy conducts ya serikali ambayo wewe unaitetea.
SIna hakika na level yako ya political science...najua umebobea sana katika public admistration and possibly some rhetoric theories of the rule of law, but kila mara ukiongea in public, you tends to let yourself in the lips of critic...basicaly uncounted critic ful of shame.
Unajua nini! just to give you some tips..nafahamu you are full aware of the functions of oppositional parties in any country run by rule of law. It is to paralyse the incumbent party for them to capitalise on their weaknesses and win the mass popularity ili come next round, the public turns on to them and grant the power to lead. Hiyo unaijua kabisa but to help you to live with example ni kwamba: In a similar stance, ni kama vile game ya Boxing, yes boxing. You may even ask Mr. Kova ambaye nasikia yeye ni Mlezi wa mchezo huu hapa Bongo. Kova anajua kanuni, mbinu, miiko na mambo mengine yanayofanyika ulingoni. Anyway one single tip inayotumiwa na mabondia wooote unaowajua ni kubackbite in unspotted points. Yaani Bondia anakuwa busy anapiga tumboni, mgongoni, mikononi na sehemu nyingine ambazo HAZINA POINT..they are not accountes either...Lengo ni Kudhoofisha mpinzani then akilegea ana-hit na kurecord point..thats it.
Mazungumzo yako ya Jazba mbele ya kadamnasi yana-akisi uficho wa tasirwa iliyoko nyuma ya Pazia, and always try to think big and big kwamba overtime--watz wanaanza kubadilika na wanaaccess independent sources of information than even wakati wewe unaanza kulitumikia Jeshi. Miaka imepita na Mambo yanabadilika .
Learn how to express, and make a brilliant rehearsal before you dare to come out!
people are watching...Tanzania is watching and "we" are watching.
Aluta Continua.
Kazi Njema
Baadhi ya sehemu na nukuu ulizokazia ni pale unaposema ANAYETAKA UONGOZI WA NCHI HII ASUBIRI HADI 2015....childish statement.
Entirely this is an oblique statement and it clearly shows the political inclination that you big gugs have.
Umejaribu kueleza namba ambavyo ungetegemea good conduct kutoka kwa mtu aliyesoma na Kiongozi mkuu...ulikuwa unamrefer Mbowe possibly... na ukaendelea kwamba you would expect such statement to have come/committed from a mere..normal and hopeless guy comingling within Kariakoo... thats your freedom of expression but coming to your own statement....ni kama vile ulikuwa unaruka kinyesi cha mtu na kukanyaga mkojo...the vice versa is true..
Unaposema watu wasubiri 2015 inaashiria namna unavyolink movement ya some political dons kama CHADEMA towards the dialy conducts ya serikali ambayo wewe unaitetea.
SIna hakika na level yako ya political science...najua umebobea sana katika public admistration and possibly some rhetoric theories of the rule of law, but kila mara ukiongea in public, you tends to let yourself in the lips of critic...basicaly uncounted critic ful of shame.
Unajua nini! just to give you some tips..nafahamu you are full aware of the functions of oppositional parties in any country run by rule of law. It is to paralyse the incumbent party for them to capitalise on their weaknesses and win the mass popularity ili come next round, the public turns on to them and grant the power to lead. Hiyo unaijua kabisa but to help you to live with example ni kwamba: In a similar stance, ni kama vile game ya Boxing, yes boxing. You may even ask Mr. Kova ambaye nasikia yeye ni Mlezi wa mchezo huu hapa Bongo. Kova anajua kanuni, mbinu, miiko na mambo mengine yanayofanyika ulingoni. Anyway one single tip inayotumiwa na mabondia wooote unaowajua ni kubackbite in unspotted points. Yaani Bondia anakuwa busy anapiga tumboni, mgongoni, mikononi na sehemu nyingine ambazo HAZINA POINT..they are not accountes either...Lengo ni Kudhoofisha mpinzani then akilegea ana-hit na kurecord point..thats it.
Mazungumzo yako ya Jazba mbele ya kadamnasi yana-akisi uficho wa tasirwa iliyoko nyuma ya Pazia, and always try to think big and big kwamba overtime--watz wanaanza kubadilika na wanaaccess independent sources of information than even wakati wewe unaanza kulitumikia Jeshi. Miaka imepita na Mambo yanabadilika .
Learn how to express, and make a brilliant rehearsal before you dare to come out!
people are watching...Tanzania is watching and "we" are watching.
Aluta Continua.
Kazi Njema