Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Wabongo wanapenda picha, so wape picha. Ndio maana wanafunga safari kwenda kupiga picha Mlimani City na Quality Centre kisha wanarudi kwao Buguruni Mnyamani, Tandale Mtogole au Manzese kwa Mfuga Mbwa na ku-chilll tu wala hawawi-inspired! Business as usual. Na serikali inalijua hilo vizuri sana.
Tunataka vitu halisi na sio mapicha picha tuuuu.
Na wanatuweza kweli na mapichapicha haya! wameshatujua udhaifu wetu
Mlimani city watu waliambiwa hivyo hivyo lakini hamna kinachoendelea pale