Coming soon: New Kawe City (Uptown Kawe)

n00b

JF-Expert Member
Apr 10, 2008
1,006
2,667
Wasaidizi wa JK hawatufahamishi juu ya miradi hii, wacha tujifahamishe wenyewe.

Hii mambo inakuja karibuni. Nadhani itakuwa ni maeneo ya Tanganyika Peckers.

attachment.php


attachment.php


Kuna mwenye kujua progress ya hii project?
 

Attachments

  • uptown_kawe_1.gif
    uptown_kawe_1.gif
    200.7 KB · Views: 10,817
  • uptown_kawe_2.png
    uptown_kawe_2.png
    214.2 KB · Views: 10,595
Hii itatokea labda miaka 200-300 ya Uhuru wa Tanganyika
Mkuu,

Si ndoto. Na nikufahamishe ni kuwa tayari eneo la Kawe pale Tanganyika Peckers pamesharejeshwa ardhi kwa asilimia nadhani zaidi ya 50.

FYI, kuna project nyingine inakuja. Tanzanite Mall na itakuwa inaonekana kama inavyoonekana hapa chini (nimefuatilia Brela, naona kuna kampuni imesajili 2011 inaitwa "Tanzanite Mall Ltd" nahisi ndio wenye hii project):

attachment.php
 

Attachments

  • tanzanite_mall.gif
    tanzanite_mall.gif
    180 KB · Views: 6,151
Shukrani kwa serikali ya awamu ya nne. Stay tuned! Mambo mazuri yanakuja na yataendelea kuja chini ya serikali ya CCM.

Kama hutaki maendeleo wewe utakuwa ni mchawi na ukatafute nchi ya kuishi.
 
hapa nilipo ndio kwaanza umeme umerudi na bado unaunguza vifaa vya umeme kama hauna akili nzuri, sasa ninapoona majengo hayo na mafly-over nabaki tu kucheka moyoni, anyways labda hayo majengo yatahudumiwa na vibatari/ jenereta na kupata maji ya boozer. zis kantri bana, nimenawa mikono/
 
Sory mkuu, kama nimekukwaza. Wakati mwingine hisia zangu hufunika kabisa USOMI wangu
Mi nataka tuanze kuongea kisomi mkuu wangu, hujanikwaza. Ni challenge ambayo tunayo kwa sasa kama taifa. Sasa, tukomae tujue status za miradi hii na kama fedha kwa ajili ya miradi hii zipo. Tunaweza kuanza kutembea vifua mbele (hata kama hatuna stake katika projects zenyewe) endapo hii miradi itafanikishwa bila kuvurugwa.

Ikitokea huu ukafanikiwa, wa Kigamboni ukafanikiwa na mingine zaidi, basi kuna afueni tutaiona angalau ukilinganisha na majirani zetu
 
Siasa pembeni, mradi mzuri...:yo:
Kidogo niweke kule kwa watani zetu ili tuwaringishie

:high5:

Project ikifanyiwa kazi na siasa zikawekwa kando, basi tutaelekea kuzuri, ajira zitatengenezwa, mapato yatakusanywa.
 
Nchi yetu imejaa wezi sana, naona sasa umezuka ufisadi wa aina mpya wa kutuchorea picha/city plans na kupiga hela za walipa kodi. Ukiuliza ni TZS ngap zimetumika katika kudevelop hiyo plan unaweza ukazimia. Kama kweli serikali imedhamiria kuendeleza nchi, kwanini isimalize plan ambayo tayari ipo???? Au kigamboni project imeshaisha???? Pia hiyo ni mbinu tu ya kutuibia lile eneo maana bila mapichapicha ya hivi pale hapaingiliki.

Kama nguvu ya kuendeleza eneo hilo ipo, pls tumalizieni kwanza Kigamboni project kisha tuamie Kawe. Hizi ni namna ya kutuibia hela kwa kujifanya wamelipa mabilioni kwa hao wanaodevelop hizo plan. Wiiiiizi mtupu. Hii serikali ilishajitoaga kwenye uwekezaji, kiherehere tena cha nn kwenye kugharamia maplan ya mabilion haya??? Wapelekeeni madawa na maendeleo bibi zangu vijijini.
 
Back
Top Bottom