Unamsema Steve Nyerere????Huyu Dada yuko vzr sana sio hao wa kibongo pumba maandazi matupu eti stand up comedy ya kibongo
Unamsema Steve Nyerere????
Sio masihara hebu assume akisheki mbavu zako zitakuwajeHacha utani Mkuu.
Lol.....bongo Katarina ndio kiboko....natamani cku nione Katarina na Kansiime jukwaa moja. Tutakufa kwa kucheka. Hawa wadada wapo talented haswaaWa Kibongo nao siyo haba, (Katarina wa Karatu).