Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,028
- 144,382
Hawa ni viongozi wakuu wa hii mihimili 2 ya dola yaani serikali na bunge.Hata hivyo ni bahati mbaya sana kuwa viongozi hawa wameshindwa ku-deliver tena kwa kiasi kikubwa katika kusimamia hiyo mihimili wanayoiongoza.
Kwa mfano,serikali imekuwa haietekekezi maazimio mbalimbali ya bunge kama vile maazimio kuhusu Richmond,Jairo na mengine mengi.Pia kila mwaka bajeti zinazotengwa kwa kila wizara hazitimii yaani fedha zinazotengwa sizo zinazotumika,matumizi ya fedha yasioidhinishwa na bunge n.k.Hiyo ni mifano michache ya "madudu" ya serikali ambayo yamegeuka wimbo kwa wabunge na kero kama sio mzigo kwa watanzania.
Bunge kama chombo kinachotakiwa kuisimamia na kuishauri serikali,kimekuwa ni chombo cha kuilinda na kuitetea ssrikali kwa gharama ya mtanzania masikini.Bunge hili chini ya Makinda limekuwa ni bunge la ndio hata kwa hoja za "kijinga" na bajeti za "kiinimacho"!
Ukichunguza kwa makini utagundua wazembe ni mwenyekuti wa baraza la mawaziri ambae ndio Raisi wa nchi kwa kushindwa kusimamia vikao vya baraza na kuja na maamuzi au mipango iliyo bora na badala yake wanafanta maamuzi ya kisiasa zaidi kwa mfano kuitengea wizara moja fedha nyingi kuliko wizara zingine kila mwaka ili waje wajisifu kuwa wamejenga barabara na iwe mtaji mwaka 2015!Ovyo kabisa!
Uzembe mwingine uko katika uongozi wa Bunge kwani bunge limegeuka kuwa mtetezi wa serikali!Spika wa bunge kama kiongozi mkuu wa chombo hiki,akisikia serikali inasemwa vibaya bungeni "atafura" kwa hisia ni CCM na siyo serikali ndio inayosemwa!Hii ni hatari sana.Spika badala ya kusimama kidete kuibana serikali kazi hiyo anaona si yake wala bunge bali ni kazi ya wabunge wachache wa upinzani ambao hata hivyo hoja zao zingine atazizima kibabe ili kuiokoa serikali!
Nadhani tangu uhuru hatujawahi kuwa na combination mbovu kama hii na ni imani yangu kuna mkono wa pepo mchafu miongoni mwa viongozi hawa wa mihimili hii.
Kwa mfano,serikali imekuwa haietekekezi maazimio mbalimbali ya bunge kama vile maazimio kuhusu Richmond,Jairo na mengine mengi.Pia kila mwaka bajeti zinazotengwa kwa kila wizara hazitimii yaani fedha zinazotengwa sizo zinazotumika,matumizi ya fedha yasioidhinishwa na bunge n.k.Hiyo ni mifano michache ya "madudu" ya serikali ambayo yamegeuka wimbo kwa wabunge na kero kama sio mzigo kwa watanzania.
Bunge kama chombo kinachotakiwa kuisimamia na kuishauri serikali,kimekuwa ni chombo cha kuilinda na kuitetea ssrikali kwa gharama ya mtanzania masikini.Bunge hili chini ya Makinda limekuwa ni bunge la ndio hata kwa hoja za "kijinga" na bajeti za "kiinimacho"!
Ukichunguza kwa makini utagundua wazembe ni mwenyekuti wa baraza la mawaziri ambae ndio Raisi wa nchi kwa kushindwa kusimamia vikao vya baraza na kuja na maamuzi au mipango iliyo bora na badala yake wanafanta maamuzi ya kisiasa zaidi kwa mfano kuitengea wizara moja fedha nyingi kuliko wizara zingine kila mwaka ili waje wajisifu kuwa wamejenga barabara na iwe mtaji mwaka 2015!Ovyo kabisa!
Uzembe mwingine uko katika uongozi wa Bunge kwani bunge limegeuka kuwa mtetezi wa serikali!Spika wa bunge kama kiongozi mkuu wa chombo hiki,akisikia serikali inasemwa vibaya bungeni "atafura" kwa hisia ni CCM na siyo serikali ndio inayosemwa!Hii ni hatari sana.Spika badala ya kusimama kidete kuibana serikali kazi hiyo anaona si yake wala bunge bali ni kazi ya wabunge wachache wa upinzani ambao hata hivyo hoja zao zingine atazizima kibabe ili kuiokoa serikali!
Nadhani tangu uhuru hatujawahi kuwa na combination mbovu kama hii na ni imani yangu kuna mkono wa pepo mchafu miongoni mwa viongozi hawa wa mihimili hii.