Coca Cola kwanza is not one of Tanzania's oldest companies as you think. Actually Coca Cola kwanza is very new in Tanzania. Its hardly 20 years old.
mlikua mnalipwa kilo ngap pale mkuu<br />
<br />
OUI CA VAS!!!!
Maandishi yako yanaonyesha dhahir kuwa na chembechembe nyingi za wivu na chuki dhidi ya huyo mzee.Bora umemjulisha, CCKL ilichukua jina kwa iliyokuwa Tanzania bottlers Ltd iliyokuwa ikimilikiwa na Manek. Mengi alitia fitna kwa Cocacola Africa kuwa kampuni ilikuwa haina uwezo wa kutimiliza patents za corporate agreements na kwa kuonesha mafanikio ya Bonite basi akawapora wale wahindi haki ya kutengeneza na kusambaza bidhaa za cocacola. Alijaribu pia kuingiza Dasan kwenye soko but wahindi wali-mfix ikadorora. Sina shaka baada ya mda mfupi atarudi kwenye biashara yake ya awali ya kungarisha viatu maana biashara zake zote zinafilisika.
Azam cola haina kiwango nimekunywa mara moja sikumaliza.
Bora umemjulisha, CCKL ilichukua jina kwa iliyokuwa Tanzania bottlers Ltd iliyokuwa ikimilikiwa na Manek. Mengi alitia fitna kwa Cocacola Africa kuwa kampuni ilikuwa haina uwezo wa kutimiliza patents za corporate agreements na kwa kuonesha mafanikio ya Bonite basi akawapora wale wahindi haki ya kutengeneza na kusambaza bidhaa za cocacola. Alijaribu pia kuingiza Dasan kwenye soko but wahindi wali-mfix ikadorora. Sina shaka baada ya mda mfupi atarudi kwenye biashara yake ya awali ya kungarisha viatu maana biashara zake zote zinafilisika.
yaani mengi na biashara zake
ingekuwa marekani watu wangeshaandika vitabu best sellers
bodycare imekufa
ippmedia inakimbiwa na best journalist wake
na sasa hiyo cckl
usisahau tuhuma za kuifilisi nico
sijui.....