Clouds FM: Tundu Lissu kuhamia ACT- Wazalendo

kaka Zitto kwann jana kwenye mkutano wako ulitoa salamu za TL badala ya CHADEMA if you real need strong institution? hasa kipindi hiki ambacho uchochezi na rubbish ni mingi?

Mwaka 2017 Lema alihudhuria mkutano wa ACT Wazalendo Arusha na kutoa salaam zake yeye kwetu kwanini haikuwa nongwa?

Mimi nimekwenda safari, nimemwona Lissu kumsabahi. Narudi nafanya mkutano wa chama nawapa wajumbe salaam za Mgonjwa wa Taifa zima, shida nini?
Anayefanyia propaganda hili ni mpumbavu na anayeamini hizo propaganda pia mpumbavu.

Narudia, hakuna coalition ya mtu na mtu. Coalition ni ya Vyama. Sisi ACT tunataka coalition na tutafuata Sheria. Kama wenzetu wanadhani wanaweza kuikabili CCM peke yao sawa. Lakini sisi tunaamini ushirikiano utakuwa na faida kwa sisi sote. Chama chetu kimejiandaa kwa yote lakini dhamira yetu ni kushirikiana tena kuanzia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
 
Leo kwenye PERUZI NA KUDADISI ya clouds FM alisikika Masudi Kipanya akisema kwamba Tundu Lisu yupo tayari kuhamia ACT- Wazalendo muda wowote kuanzia sasa. Kinachosubiriwa ni muda tu ufike.

SOURCE: Clouds FM.
Nawaonea huruma mnaotegemea kupata habari kupitia kituo cha mashoga
 
Mi nadhani tufanye subra tuone kitakachijiri.
Kama Maalim Seif aliyewahi kuhudumu kama Waziri Kiongozi Zanzibar na mjumbe wa kamati kuu ya CCM amehamia chama hicho, itashindikanaje kwa Tundu Lissu?
 
Mwaka 2017 Lema alihudhuria mkutano wa ACT Wazalendo Arusha na kutoa salaam zake yeye kwetu kwanini haikuwa nongwa?

Mimi nimekwenda safari, nimemwona Lissu kumsabahi. Narudi nafanya mkutano wa chama nawapa wajumbe salaam za Mgonjwa wa Taifa zima, shida nini?
Anayefanyia propaganda hili ni mpumbavu na anayeamini hizo propaganda pia mpumbavu.

Narudia, hakuna coalition ya mtu na mtu. Coalition ni ya Vyama. Sisi ACT tunataka coalition na tutafuata Sheria. Kama wenzetu wanadhani wanaweza kuikabili CCM peke yao sawa. Lakini sisi tunaamini ushirikiano utakuwa na faida kwa sisi sote. Chama chetu kimejiandaa kwa yote lakini dhamira yetu ni kushirikiana tena kuanzia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

‘Kuvunja Bank ‘ kusajili Christiano Ronaldo si dhambi
 
Zitto kima video anawaambia wafuasi wake kwamba ana salamu kutoka kwa Lisu kwamba yuko tayari kiungana nao kupigania haki za kidemocrasia ktika nchii hii.

Kwa ule uspecial aliopewa Lisu kwenye mkutano wa ACT mwenye akili anajua nini kinafuata.

Inawezekana Lisu hafurahishwi na jinsi Mbowe anavyo kanyaga katiba ya chadema.
Ila mnafurahishwa na yule anaekanyaga katiba ya Chama chenu na Nchi?
 
Leo kwenye PERUZI NA KUDADISI ya clouds FM alisikika Masudi Kipanya akisema kwamba Tundu Lisu yupo tayari kuhamia ACT- Wazalendo muda wowote kuanzia sasa. Kinachosubiriwa ni muda tu ufike.

SOURCE: Clouds FM.

Afrika kuna hatari kubwa sana KWA hapa duniani, Watu weusi wengi hawajielewi NA AKILI zao ni mbovu sana. Badala ya kujikita NA matatizo yao halisi yanayowakabili, wao wameelekeza nguvu zao zaidi ku-deal NA wanasiasa NA siasa, tena siasa chafu.

Jamani, tafuteni maisha, pambaneni NA umaskini, itafuteni elimu bora mahali popote pale ilipo,
wanasiasa hao wanawapotezeeni muda tu, wao wanachoangalia ni Maslahi yao binafsi tu
 
Nakumbuka tetesi za mwanzo kabisa za Mamvi kuhamia CDM baada ya kukatwa zilikanushwa na Mbowe na siyo Lowasa mwenyewe.

Tukaambiwa Mamvi ni bubu na UKAWA si.kimbilio la mafisadi.

Zilipovuja picha Mamvi akiwa na kamati.kuu ya CDM pale Bahari Beach,Mbowe tena akajitokeza na kutuambia ni Photoshop.

Naona Zitto naye anafanya kile kile,kukanusha yeye badala ya Lisu mwenyewe.
 
Mi nadhani tufanye subra tuone kitakachijiri.
Kama Maalim Seif aliyewahi kuhudumu kama Waziri Kiongozi Zanzibar na mjumbe wa kamati kuu ya CCM amehamia chama hicho, itashindikanaje kwa Tundu Lissu?
Hatukatai kuwa Lissu anaweza kuhamia ACT, anaweza kwenda popote hata CCM ni hiari kwake na ndio demokrasia.
Lakini sidhani kama kwa wakati huu, mazingira yake Lissu na Mategemeo ya chama chake kama hilo linawezekana kwa sasa.
Lissu sio limbukeni wa kisiasa, na Lissu hajawa mtu asiye shukrani hata kidogo.
Lissu alifikia hali ya kuhesabika mfu kwa kutimiza wajibu wake. Na chama chake kikapambana usiku na mchana kumpigania uhai wake kama wajibu wa chama. Jee ni sahihi baada ya matibabu na sasa kasimama mwenyewe wale walio mpigania awaache njia panda na kushika mwelekeo mwingine? Tena kwa wakati huu?
Hizi habari ni za kutaka kumkosanisha na wenzake bure! Ndio maana nasema LISSU atoke hadharani AKANUSHE au ATHIBITISHE habari hii kwa kinywa chake mwenyewe
 
Hatukatai kuwa Lissu anaweza kuhamia ACT, anaweza kwenda popote hata CCM ni hiari kwake na ndio demokrasia.
Lakini sidhani kama kwa wakati huu, mazingira yake Lissu na Mategemeo ya chama chake kama hilo linawezekana kwa sasa.
Lissu sio limbukeni wa kisiasa, na Lissu hajawa mtu asiye shukrani hata kidogo.
Lissu alifikia hali ya kuhesabika mfu kwa kutimiza wajibu wake. Na chama chake kikapambana usiku na mchana kumpigania uhai wake kama wajibu wa chama. Jee ni sahihi baada ya matibabu na sasa kasimama mwenyewe wale walio mpigania awaache njia panda na kushika mwelekeo mwingine? Tena kwa wakati huu?
Hizi habari ni za kutaka kumkosanisha na wenzake bure! Ndio maana nasema LISSU atoke hadharani AKANUSHE au ATHIBITISHE habari hii kwa kinywa chake mwenyewe
Zitto hapa si amejibu na ameeleza vzr hivi hii mitego ambayo inapigwa mziki na CCM na Sisi tunakatia mauno hatushtuki Tu. Lissu hawezi kuacha CDM lkn anaona umuhim wa kuungana upinzani siasa za umimi hazina wakati Kwa sasa.
 
Kuhusu Zitto zamani nilikuwa siamini sana tuhuma zake, lakini sasa nimeanza kuamini kuwa no mjasiria mali wa kisiasa.
Mvurugaji mkuu wa upinzani hasa Chadema. Nadhani Lissu sasa atoke hadharani na kuweka hili sawa
kamanda unalialia...mmetaka kumuua kisa uenyekiti ngoja aondoke
 
Nakumbuka tetesi za mwanzo kabisa za Mamvi kuhamia CDM baada ya kukatwa zilikanushwa na Mbowe na siyo Lowasa mwenyewe.

Tukaambiwa Mamvi ni bubu na UKAWA si.kimbilio la mafisadi.

Zilipovuja picha Mamvi akiwa na kamati.kuu ya CDM pale Bahari Beach,Mbowe tena akajitokeza na kutuambia ni Photoshop.

Naona Zitto naye anafanya kile kile,kukanusha yeye badala ya Lisu mwenyewe.

Umesahau tu au kujisahaulisha. Tulipoanzisha ACT tuliambiwa kuwa ni chama cha Lowasa. Ikavuma kuwa Lowasa anakuja ACT tena kwa matusi makali makali dhidi ya ACT kutoka kwa hao hao ambao walimpokea Lowasa.

Wakati mwengine ukiwa na hekima unatazama tu mambo na kukaa kimya. Siasa za Tanzania ni moja ya Siasa za hovyo sana. Jambo ni baya akilifanya mwengine. Ukifanya wewe au aliye karibu nawe sio baya hata kidogo. Siasa za watu wasio na maarifa, wasioijua dunia, wasio na ajenda isipokuwa madaraka ya dola tu sio Siasa. Tufanye Siasa ya kukomboa watu. Tuwe na uwezo wa kuweka tofauti pembeni kwa ajili ya faida kubwa ya nchi. Mission kubwa hapa ni KUIONDOA CCM ili kuboresha maisha ya wananchi. Tu focus hapo
 
Umesahau tu au kujisahaulisha. Tulipoanzisha ACT tuliambiwa kuwa ni chama cha Lowasa. Ikavuma kuwa Lowasa anakuja ACT tena kwa matusi makali makali dhidi ya ACT kutoka kwa hao hao ambao walimpokea Lowasa.

Wakati mwengine ukiwa na hekima unatazama tu mambo na kukaa kimya. Siasa za Tanzania ni moja ya Siasa za hovyo sana. Jambo ni baya akilifanya mwengine. Ukifanya wewe au aliye karibu nawe sio baya hata kidogo. Siasa za watu wasio na maarifa, wasioijua dunia, wasio na ajenda isipokuwa madaraka ya dola tu sio Siasa. Tufanye Siasa ya kukomboa watu. Tuwe na uwezo wa kuweka tofauti pembeni kwa ajili ya faida kubwa ya nchi. Mission kubwa hapa ni KUIONDOA CCM ili kuboresha maisha ya wananchi. Tu focus hapo
Mkuuu tunaelewa Sana na hakika historia itakuja kukumbuka insha'Allah wapo wanaousmbuliwa na zittophobia lkn hili limekwisha halina nafasi tena KWa sasa. Pambeneni tuko nyuma yenu dhidi ya nduli CCM
 
Umesahau tu au kujisahaulisha. Tulipoanzisha ACT tuliambiwa kuwa ni chama cha Lowasa. Ikavuma kuwa Lowasa anakuja ACT tena kwa matusi makali makali dhidi ya ACT kutoka kwa hao hao ambao walimpokea Lowasa.

Wakati mwengine ukiwa na hekima unatazama tu mambo na kukaa kimya. Siasa za Tanzania ni moja ya Siasa za hovyo sana. Jambo ni baya akilifanya mwengine. Ukifanya wewe au aliye karibu nawe sio baya hata kidogo. Siasa za watu wasio na maarifa, wasioijua dunia, wasio na ajenda isipokuwa madaraka ya dola tu sio Siasa. Tufanye Siasa ya kukomboa watu. Tuwe na uwezo wa kuweka tofauti pembeni kwa ajili ya faida kubwa ya nchi. Mission kubwa hapa ni KUIONDOA CCM ili kuboresha maisha ya wananchi. Tu focus hapo
Vyama vyenu vya upinzani havina tofauti na Sacco's eti muiondoe CCM naona mhe zitto unaota ndoto za mchana.
 
Back
Top Bottom