Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
Clouds wanapiga nyimbo zilezile kila kipindi.
Leo nimesikiliza vipindi vya kuanzia asubuhi hadi muda huu.
Yaani mtu unaweza kuotea nyimbo zitakazo pigwa kwenye kipindi cha kesho.
Hatari kwelikweli vijana wa maghorofani pale mikocheni.
Leo nimesikiliza vipindi vya kuanzia asubuhi hadi muda huu.
Yaani mtu unaweza kuotea nyimbo zitakazo pigwa kwenye kipindi cha kesho.
Hatari kwelikweli vijana wa maghorofani pale mikocheni.