Clouds FM badilikeni!

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,871
155,841
Clouds wanapiga nyimbo zilezile kila kipindi.

Leo nimesikiliza vipindi vya kuanzia asubuhi hadi muda huu.

Yaani mtu unaweza kuotea nyimbo zitakazo pigwa kwenye kipindi cha kesho.

Hatari kwelikweli vijana wa maghorofani pale mikocheni.
 
Weye siku nyingine wakikuchosha, jiwekee zako CD, afu kula muziki. sawa eeh?
 
Wewe lazima ni msanii na nyimbo yako haiko kwenye play list. Pole mkono mtupu haulambwi.
 
Hili ni halina ubishi, clouds wana fanya hivyo sababu ya kubania wasanii walio kua wanaonekana kufunuka kimikataba, hawa jamaa huwa wakisha kuona una ufahamu fulani au hata umepeleka cd yako kwenye kituo kingine kabla ya wao basi hawata piga nyimbo zako na ndio maana nyimbo ni zile zile tuu.

Ruge ana influence kubwa sana katika hii biashara ya musiki na anapo taka kuku bania ana weza kukufunggia popote , kuanzia kwa muhindi mbaka kwnye radio na TV , huyu jama ni kikwazo kikubwa kwa ajira za vijana, kiasi cha kuwafanya hata wafanyakazi wake wawe kama yeye katika masuala ya ku cheza nyimbo zao Redioni.

Jk alisikiliza ile risala ya RUge ikisomwa na Lady JD kuhusu kufungua proffesional mastering studio na baada ya muda mfupi wakakaa kikao na kuchaguana wao wenywe bila kushirikiana na wengine ,ambapo lady JD ndio mwenyekiti .

Na habari mitambo imefika teari na hiyo studio ni itakua chini ya usimamizi wa RUge , je hapo kuna usalama kwa wasanii wengine wasio chini ya Ruge?JK alifikilia nini bila kushirikisha wadau kujua , huu mchango anao toa uta simamiwaje?

Kazi kubwa na safari ndefu kwa wasanii na ukizingatia clouds wamesha wakamata hawa marketing maneger wote kuanzia kina Kevin Twissa na wengine wote .Labda mbaka kuwe na sys ya kucheki ratings za vipindi kuona kipi kina wasikilizaji wengi labd ahapo itasaida ila bado l suala la kua indpendent , kuto ingiliwa na pia hawa watu wa market watatoa report gani kwa ma bosi wao ili waweze toa pesa kwa walengwa .Bila hivyo Ruge ataendelea kua kiboko yao!
 
Hili ni halina ubishi, clouds wana fanya hivyo sababu ya kubania wasanii walio kua wanaonekana kufunuka kimikataba, hawa jamaa huwa wakisha kuona una ufahamu fulani au hata umepeleka cd yako kwenye kituo kingine kabla ya wao basi hawata piga nyimbo zako na ndio maana nyimbo ni zile zile tuu.

Ruge ana influence kubwa sana katika hii biashara ya musiki na anapo taka kuku bania ana weza kukufunggia popote , kuanzia kwa muhindi mbaka kwnye radio na TV , huyu jama ni kikwazo kikubwa kwa ajira za vijana, kiasi cha kuwafanya hata wafanyakazi wake wawe kama yeye katika masuala ya ku cheza nyimbo zao Redioni.

Jk alisikiliza ile risala ya RUge ikisomwa na Lady JD kuhusu kufungua proffesional mastering studio na baada ya muda mfupi wakakaa kikao na kuchaguana wao wenywe bila kushirikiana na wengine ,ambapo lady JD ndio mwenyekiti .

Na habari mitambo imefika teari na hiyo studio ni itakua chini ya usimamizi wa RUge , je hapo kuna usalama kwa wasanii wengine wasio chini ya Ruge?JK alifikilia nini bila kushirikisha wadau kujua , huu mchango anao toa uta simamiwaje?

Kazi kubwa na safari ndefu kwa wasanii na ukizingatia clouds wamesha wakamata hawa marketing maneger wote kuanzia kina Kevin Twissa na wengine wote .Labda mbaka kuwe na sys ya kucheki ratings za vipindi kuona kipi kina wasikilizaji wengi labd ahapo itasaida ila bado l suala la kua indpendent , kuto ingiliwa na pia hawa watu wa market watatoa report gani kwa ma bosi wao ili waweze toa pesa kwa walengwa .Bila hivyo Ruge ataendelea kua kiboko yao!
nilishasema hapa kuhusu RUGE ninayemfahamu mie na watu wakamwaga siiifa kibao kwa kuwa hawajui kwamba clouds wanapromoti nyimbo fake na wanaua sanaa ya muziki nchini kwa ambitions zao.

dogo sijaipenda signature yako
 
clouds wanacheza na mind za New generations,hata mimi nimeliona hilo! Sio vibaya kwani inategemea Radio yao ina-target nini? kila mwaka wanabadilisha baadhi ya segments zao mfano Slogans ya Bonge,Kaa Chonjo,Taarifa ya habari etc
 
Ruge Ruge Ruge Mutahaba, hivi Tz hakuna ma producer wengine zaidi ya huyu jamaa? Inaelekea Tanzania tunakokwenda sio kwenyewe, tunalea umangimeza kwenye kila sekta, kwenye siasa kuna RA, kwenye burudani kuna RM. Kuna haja ya kuanza mkakati wa kuchipusha watu wengine ili kuleta ushindani wa kweli, la sivyo maendeleo ya Tz ni mark time tu
 
Jamaa (CLOUDS) wako creative kweli kweli leo hawapigi BONGO FLAVA wimbo mpaka msanii achangie maafa ya Kilosa kupita mpango wa RED ALLERT... wana-target ya kukusanya 50M and belive me watakusanya hela hizo...
 
Waheshimiwa hayo yote tisa. Kumi ni kuhusu kipindi chao cha jioni kinachochambua magazeti ya Alasiri na Dar Leo. Ukisikiliza kipindi hicho unapokuwa kwenye daladala toka Posta kuelekea Mwenge, kuna bwana mmoja anayepoteza muda kwa kusema Salaam alehkum kwa takriban dakika 20 - 30. Naomba abadilike.
 
nilishasema hapa kuhusu RUGE ninayemfahamu mie na watu wakamwaga siiifa kibao kwa kuwa hawajui kwamba clouds wanapromoti nyimbo fake na wanaua sanaa ya muziki nchini kwa ambitions zao.

dogo sijaipenda signature yako

Yah, nadhani kuna kitu kinamuudhi si rahisi mtu kuichukia motherland hata iweje, lazima kuna la msingi

Labda nimuombe tu ndugu yangu aibadili kidogo signature ili kututia moyo tulio bongo, maana inakuwa kama inavunja moyo na nchi yenyewe ngumu hii... tupeni moyo msiuvunje

Kuhusu hayo ya Ruge, tunasahau kwamba kuna mtoto wa kikwete linked na THT na mambo yote yanayozunguka talent promotion bongo... USHIKAJI UNAHARIBU NCHI KWENYE KILA NYANJA
 
Back
Top Bottom