Clearing and forwarding business in Tanzania

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,861
6,227
Heshima kwenu brothers and sisters poleni na mihangaiko ya kila siku,,

Naomba mnisaidie informations in details katika hiyo business in Tanzania, hivi mchakato wa kurun those firms inakuaje na
operational costs plus profit zinakwenda vipi, sababu naona imekaa kirahisi rahisi but watu wengi wanaodili nayo wana maisha ya
kueleweka mitaaani, je Graduates wa kisasa wakijoin patnership na kuanzisha those firms ni njia zipi zitazofanya waweze kusurvive, na initial capital zake zinarange bei gani?

Na pia nitashukuru sana mkinisaidia na threats zake in operations na risk zote na ushindani wake ukoje na profit inapatikana vipi..:biggrin:
 
Dont think its that easy. Kuanzisha hiyo business needs courage and stamina maana ni lazima uende shule ukapige mzigo pale chuo cha kodi na ufaulu katika ngazi ya cetificate. Its a very lucrative bussiness n i can assure you ukiiwezea utatoka kimaisha. otherwise just go to the nearest TRA office, stop a clearing agent and ask for info.
 
Bwana mdogo hiyo ni business complex kuliko unavofikiri kwanza ma imported na ma exporter ni walewale hivo soko liko closed ,kama unavojua wao hu deal na ma -customs officer ambao kuokana na na mazingira yao kuzungukwa na rushwa wao huwa wanapiga deal na ma agent wanaowajua tuu tena kwa miaka wao huwa ni targeted na PCB,Usalama kwani ukimuotea ni rahisi kukupa mamilion hivo hata kakako ni ngumu kukuunganisha,

Aidha kuanzisha c$f compn sio mchezo ina kubidi uwe na decent office level za TRA ambayo ni lazima iwe karibu na customs station kama posta kwa dar ,ambapo kukodi office kwa mwezi si chini ya 2 mil tena wanachukua kwa mwaka, kufunga system ya Asycuda ni ghali TRA wenyewe wameshindwa gharama ya kufunga baadhi ya maeneo kama mtukula ambayo inaingiza bilions.pia kujiunga tu lazima uweke bond ya USD 100,000 ambayo unaideposit kwa TRA ambayo italinda kodi zao au itakatwa ua ukivuruga hauipati,wengi unao wajua ni mtu anamuomba mwenye kampuni aka function ambako yeye hayupo,

USHAURI : DOGO KILIMO KWANZA NDO MKOMBOZI WAKO, KAMA MSOMI HUWEZI KUWAZA BIASHARA ZINAZOSAIDIA NCHI TAJILI KUPATA SOKO MARA KUUZA LAPTOP ,KUFUNGUA CAFE,DUKA LA NGUO (ZA KISHAROBARO) HAKIKA UNAKUA HUTOFAUTIANI NA MACHINGA WA KARIAKOO WEWE LIMA UKIFOCUS KUPANUA SHAMBA ZAKU NA HATIMAYE KUFUNGUA KIWANDA KIDOGO CHA KUSINDIKA MAZAO YAKO .
.
 
Bwana mdogo hiyo ni business complex kuliko unavofikiri kwanza ma imported na ma exporter ni walewale hivo soko liko closed ,kama unavojua wao hu deal na ma -customs officer ambao kuokana na na mazingira yao kuzungukwa na rushwa wao huwa wanapiga deal na ma agent wanaowajua tuu tena kwa miaka wao huwa ni targeted na PCB,Usalama kwani ukimuotea ni rahisi kukupa mamilion hivo hata kakako ni ngumu kukuunganisha,

Aidha kuanzisha c$f compn sio mchezo ina kubidi uwe na decent office level za TRA ambayo ni lazima iwe karibu na customs station kama posta kwa dar ,ambapo kukodi office kwa mwezi si chini ya 2 mil tena wanachukua kwa mwaka, kufunga system ya Asycuda ni ghali TRA wenyewe wameshindwa gharama ya kufunga baadhi ya maeneo kama mtukula ambayo inaingiza bilions.pia kujiunga tu lazima uweke bond ya USD 100,000 ambayo unaideposit kwa TRA ambayo italinda kodi zao au itakatwa ua ukivuruga hauipati,wengi unao wajua ni mtu anamuomba mwenye kampuni aka function ambako yeye hayupo,

USHAURI : DOGO KILIMO KWANZA NDO MKOMBOZI WAKO, KAMA MSOMI HUWEZI KUWAZA BIASHARA ZINAZOSAIDIA NCHI TAJILI KUPATA SOKO MARA KUUZA LAPTOP ,KUFUNGUA CAFE,DUKA LA NGUO (ZA KISHAROBARO) HAKIKA UNAKUA HUTOFAUTIANI NA MACHINGA WA KARIAKOO WEWE LIMA UKIFOCUS KUPANUA SHAMBA ZAKU NA HATIMAYE KUFUNGUA KIWANDA KIDOGO CHA KUSINDIKA MAZAO YAKO .
.
Hii kitu ina ukweli mkuu? Ama uliamua kumtisha jamaa asiingie kwenye biashara yako tu, hahahaa!
 
Bwana mdogo hiyo ni business complex kuliko unavofikiri kwanza ma imported na ma exporter ni walewale hivo soko liko closed ,kama unavojua wao hu deal na ma -customs officer ambao kuokana na na mazingira yao kuzungukwa na rushwa wao huwa wanapiga deal na ma agent wanaowajua tuu tena kwa miaka wao huwa ni targeted na PCB,Usalama kwani ukimuotea ni rahisi kukupa mamilion hivo hata kakako ni ngumu kukuunganisha,

Aidha kuanzisha c$f compn sio mchezo ina kubidi uwe na decent office level za TRA ambayo ni lazima iwe karibu na customs station kama posta kwa dar ,ambapo kukodi office kwa mwezi si chini ya 2 mil tena wanachukua kwa mwaka, kufunga system ya Asycuda ni ghali TRA wenyewe wameshindwa gharama ya kufunga baadhi ya maeneo kama mtukula ambayo inaingiza bilions.pia kujiunga tu lazima uweke bond ya USD 100,000 ambayo unaideposit kwa TRA ambayo italinda kodi zao au itakatwa ua ukivuruga hauipati,wengi unao wajua ni mtu anamuomba mwenye kampuni aka function ambako yeye hayupo,

USHAURI : DOGO KILIMO KWANZA NDO MKOMBOZI WAKO, KAMA MSOMI HUWEZI KUWAZA BIASHARA ZINAZOSAIDIA NCHI TAJILI KUPATA SOKO MARA KUUZA LAPTOP ,KUFUNGUA CAFE,DUKA LA NGUO (ZA KISHAROBARO) HAKIKA UNAKUA HUTOFAUTIANI NA MACHINGA WA KARIAKOO WEWE LIMA UKIFOCUS KUPANUA SHAMBA ZAKU NA HATIMAYE KUFUNGUA KIWANDA KIDOGO CHA KUSINDIKA MAZAO YAKO .
.

hizo info zako si za kweli unamtisha jamaa uyo mi kuna watu nawajua ufanya hizo kazi na walianza chini tu sasa hiv wana uwezo.

unamtisha
 
Wakuu, msaada tafadhali kwa anayefahamu taratibu za kupata leseni ya Clearing & Forwarding Agent. Hawa jamaa wakututolea mizigo yetu wanasumbua sana bana!
 
Wakuu, msaada tafadhali kwa anayefahamu taratibu za kupata leseni ya Clearing & Forwarding Agent. Hawa jamaa wakututolea mizigo yetu wanasumbua sana bana!

Wewe ukipata leseni hauta tusumbua kama hao wanvyo kusumbua?
 
kwakweri nibiashara poa ukiwa na mtaji hata mm nasoma kozi ya freight clearing forwarding management diploma chuo cha bandari tusidanganyane kilimo chasaivi bila mtaji utakua ndio ulele uti wamgongo jembe lamkono nisawa nakuvua samaki ndania ya bakuri apo kaka kama mtaji upo piga kazi achana namaneno ya siasa
 
home shoping centre na silent ocean wao wamekomba wateja wote.. vikampuni vya watu vinakufa kila siku..

90 parcent wa importer bongo wanatumia silent ocean
 
1. uwe na elimu ya taxisation
2. uwe na bond (nyumba)
3. uwe na uwezo wa kuajili.
4. uwe na registered company
5. kisha unaomba leseni customs (leseni ya clearing)
wakati huo uwe una leseni ya biashara ya manispaa
6. utatakiwa kufanya mtihani wa customs. (Kimjini mjini unaweza kukodi mtu akakufanyie maana huwa mgumu)
7. ukifanikiwa kufaulu utapata leseni.
8. Kisha utatakiwa kuajiri wataalamu wa mambo ya data kama assycuda. So lzm uwe computer ambazo ni full conected na internet
9. issue ni kupata wateja km mmoj alivyosema.
ma importers na exporters wanajulikana na wana maagent wao.

Hawa ma clearing wajanja sana. Wanaiba pesa za kodi ndio wanatambia mitaani.

Kama huamini angalieni sasa ma clearing agent sasa watakuwaje maana maboss wao sasa wanabnwa.

Naamini hakuna mtu mwenye mbwembwe kama clearing. Utamuona anataba wakati hel alizoshika sio zake.

Pia utapeli wa maagent hawa ndio unaowababaisha wengi.

Ila kiufupi clearing ni nzuri kwa wafanyakazi sio kwa uongozi. Wafanyakazi hubagain kwenye malipo
 
kwakweri nibiashara poa ukiwa na mtaji hata mm nasoma kozi ya freight clearing forwarding management diploma chuo cha bandari tusidanganyane kilimo chasaivi bila mtaji utakua ndio ulele uti wamgongo jembe lamkono nisawa nakuvua samaki ndania ya bakuri apo kaka kama mtaji upo piga kazi achana namaneno ya siasa
MKUU UPO AISEE KITAMBO JE UNAZO ZILE PIKIPIKI TENA
 
Back
Top Bottom