MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,861
- 6,227
Heshima kwenu brothers and sisters poleni na mihangaiko ya kila siku,,
Naomba mnisaidie informations in details katika hiyo business in Tanzania, hivi mchakato wa kurun those firms inakuaje na
operational costs plus profit zinakwenda vipi, sababu naona imekaa kirahisi rahisi but watu wengi wanaodili nayo wana maisha ya
kueleweka mitaaani, je Graduates wa kisasa wakijoin patnership na kuanzisha those firms ni njia zipi zitazofanya waweze kusurvive, na initial capital zake zinarange bei gani?
Na pia nitashukuru sana mkinisaidia na threats zake in operations na risk zote na ushindani wake ukoje na profit inapatikana vipi..:biggrin:
Naomba mnisaidie informations in details katika hiyo business in Tanzania, hivi mchakato wa kurun those firms inakuaje na
operational costs plus profit zinakwenda vipi, sababu naona imekaa kirahisi rahisi but watu wengi wanaodili nayo wana maisha ya
kueleweka mitaaani, je Graduates wa kisasa wakijoin patnership na kuanzisha those firms ni njia zipi zitazofanya waweze kusurvive, na initial capital zake zinarange bei gani?
Na pia nitashukuru sana mkinisaidia na threats zake in operations na risk zote na ushindani wake ukoje na profit inapatikana vipi..:biggrin: