networker
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 570
- 215
jaman habarini za mchana huu.kuna maajabu sana hapa mjini yaan kila kukicha watu wanatunga sera za utapeli tu ama ni nn? Leo nmeamka natumiwa sms kutoka katika kampuni ambayo siifaham wanadai eti maombi yangu wameyafikilia vizuri niende nkafanye kaz ktk muda wangu wa ziada.muda wa ziada kiaje? Hapa ndipo ninapoona kuna kamwanya ka utapeli.cjawahi kuapply hii kampuni halafu wanadai wako sinza.mmh....
hahhaaha hawa majama nawafahamu wako sinza mori nadhani wanatuma maga ma msg kibao kwa watu nia namadhumini ni kupata followers wengi ili kupata ulaji zaidi kwenye hii kitu inayo itwa biashara ya mtandao ime fanan na forever living ,sema hawa wa sinza wanuza bidha za GNLD wanaku convince ukijiunga n wao kwa ada ya 50,000tsh unaweza uka tafuta followers wengi jinsi unavyo wapata ndio unazidi kulipwa hela nyingi bila kufanya chochote kazi yako ni followers au ku uza madawa ya GNLD