sehemu ngani? mkuu watu watume maombiKuna sehemu najua unaweza pata ila mshahara wao kwa kuanza nadhani hauzidi laki tano.
Nimekupm
Jamani pengine huwa najiuliza hivi hizi pm huwa kweli tunazitumia kwa kusudio lake hasa??, maana mambo mengine ni kwa ajili ya wengi, lkn cha hajabu mtu anataka um p.m, mmh!
Usitake kusafiria nyota, katangaza mmoja kuomba kazi, that why kaambiwa ampm!!! nawewe ukitangaza utajulishwa.Jamani pengine huwa najiuliza hivi hizi pm huwa kweli tunazitumia kwa kusudio lake hasa??, maana mambo mengine ni kwa ajili ya wengi, lkn cha hajabu mtu anataka um p.m, mmh!