Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
Hii Kitu tulikuwa tunaijadili jana lakini kutokana na sababu zakiufundi imepotea.
Huyu mwana dada Cindy "rasta" mtangazaji wa kipindi cha EA connect kinachorushwa na EATV hana uwezo wa kukiongoza, anaonekana upeo wake katika mambo mengi ni mdogo na mara nyingi maswali yake hayana maana na hayaleti changamoto yoyote kwa vijana wa East Afrika...kipindi kinaboa sana..
Tuendelee....
MJ
Huyu mwana dada Cindy "rasta" mtangazaji wa kipindi cha EA connect kinachorushwa na EATV hana uwezo wa kukiongoza, anaonekana upeo wake katika mambo mengi ni mdogo na mara nyingi maswali yake hayana maana na hayaleti changamoto yoyote kwa vijana wa East Afrika...kipindi kinaboa sana..
Tuendelee....
MJ