CIA wamekubali North Korea ana uwezo wa kushambulia Marekani kwa nyuklia

Hi itakua CIA ya Iborogelo Igunga.America bado ni tishio hapa duniani kuliko taifa lolote,Korea ikipigana na America basi ujue America itakua inapigana na mataifa mengine kama mawili au matatu hivi.lakini Korea kama wao wala haitakua ni kupigana itakua ni kupigwa na kufunzwa adabu

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA

Mkuu soma historia - Amerika iliwahi kushinda vita wapi kwa kujitegemea yenyewe - wapi? Uingereza kweli huko Falkland, sio hawa Mayankee.

Kama kufunza adabu wangeazia VietNam na iliyo kuwa Korea - twambie kushikisha kwao watu/Nchi adabu kuliwafikisha wapi wakati alipo pigana vita na Mataifa hayo mawili, kwa nyakati tufauti - walishindwa vita kutokana na ujarisi wa makomanda wa Nchi zilizo vamiwa na US, vile vile Silaha walizopewa na Uchina na Urusi ndiyo zilisababisha Uncle SAM kutimka, hapo tunazungumzia matukio ya miaka 60+ huko Korea na miaka 40+ huko VietNam , je, nchi zilizo toa silaha miaka hiyo hivi sasa zina silaha gani ambazo ni bora zaidi zenye uwezo mkubwa wa kuwafunza wavamizi adabu and not the other way around, hilo amulisemi.

Tukiachana na matukio ya vita kwenye miaka ya 1950s na 1970s tuje vita ya miaka ya hivi karibuni namely 1980/90s, swali ni ,je, huu ni mwaka wa ngapi tangu wajiingize Afghanistan - huko sahihi ni mwaka wa 16 na bado wanaendelea kuenyeshwa na Wateliban huko Afghanistani- hivi sasa U.S hipo mbioni kutafuta suluhu inataka waelewane na Wateliban ili wasitishe vita!!! Haya tuje Iraq huu mwaka wa ngapi? USA inaweza kusema kwamba Iraq kuna amani wakati bado Amerika ina kimbizana na Waasi, mwezi March au April walilazimaka kufanya a carpet bombing mji mzima wa Mosul waka wauua raia chungu mzima na mji wenyewe ukageuzwa magofu matupu na wala sikusikia CNN na other MSM outlets wakikemea mauuaji makubwa ya raia wa Iraq yaliyo sababishwa na ndege za Marekani/NATO, CNN walikaa kimya kabisa, kazi kuwasema vibaya Asaad na Iran!!!

Leo hii Amerika na Ulaya wanakemea mauuji ya Raia wao yanayo fanywa na watu walio kata tamaa ya kufanyiwa vitendo vya kidhalimu/mauuaji la raia wasio na hatia ndani ya nchi zao za Mashariki ya kati na Afrika kasikazini kukana na ndege za vita zenye marubani na Drones zinashambulia misikiti,mashule,Hospitali mpaka sherehe za harusi zinashambuliwa bila huruma - harafu nchi za magharibi walivyo mazabazabina wanashangaa vijana wa Kiarabu wanapo endesha magari madogo na malori kukanyaga wenyeji wa huko Ulaya wakilipiza kisasi - Dunia nzima inalazimika kuwalahumu Waarabu, lakini ndege za NATO zikifanya maafa makubwa kwa nchi za Kiarabu Dunia inakaa kimya as if Arabs are not human beings. NATO hawana time ya kukaa chini na kujiuliza maswali magumu ni kitu gani kina sababisha amani kutoweka huko Ulaya na Merikani kwenyewe - wapo wapo tu na majigambo - wamekuwa kero kwa kukosesha watu amani Duniani, wakiachana na tabia zao za kupendelea regime changes na NWO hakuna atakaye wafuata - hivi sasa Dunia haikubali tena kuendeshwa in ki - Unipolar mode wapo key players wengine - Amerika ikubali kwamba hivi sasa buzz word ni a Multipolar World wakubali wasikubali watakubwa na tide hawana jinsi.
 
Marekani ananunua rocket engine kutoka ussr sio kwa kupenda ila hana uwezo huo halaf usikir kuwa usa anaweza tengeneza kila kitu vingine anaagiza hata baraza la senate liliwahi jadili kuachana na deals of pumping billions of dollars to Russia for first class rocket engines for space mission lakini ilishindikana kutokana na bei kubwa ktk makampuni ya kibepari kama vile Lockheed
 
Hiyo ripoti inaweza ikatumika kama justification ya kuishambulia N.K , kumbuka pia hao hao CIA walituambia kuwa Sadam ni tishio kwa dunia, hao hao wakasema tena Qadaffi naye ni tishio,, baadaye wakaja kutuomba radhi kuwa walikosea.
 
Trump bhana hivi alisha maliza ahadi zake alizo wahaidi Wamarekani kuzitimiza wakati wa kampeni zake au anakomaa tu na N.Korea?

Mkuu Trump hana mpango wowote wa kuishammbulia/vamia Korea Kasikazini - Trump mjanja sana alipo ona madai ya kusema sema kwamba Urusi ndiyo ilimsaidia kupata ushindi wakaendelea kushinikiza uchunguzi wa kina ufanyike, yaani kila siku vyombo vya habari vinashikiza kuhusu mahusiano yake na Urusi, Trump akabuni kitu cha kusaulisha wapinzani/maadui wake masaula ya Urusi na Putin ndiyo kajifanya kumkomalia Kim, na Kim alipo fanya majaribio ya kumbora lake la hivi karibuni Trump akalivalia njuga tukio hilo wakati akijua fika kwamba Kim hana mpango wowote wa kushambulia Amerika yenyewe wala Kisiwa cha Guam, rhetoric za Kim zilikuwa danganya toto tu Kim awezi ku-commit KAMIKAZE akajitia kuishambulia Guam mwisho wa siku akajikuta anakosa usaidizi kutoka China na Urusi maana ataonekana ni mchokozi - nina uhakika wangemuacha alikorogo na kulinywa mwenyewe bila ya kupata usaidizi kutoka kwa marafiki zake - Kim is smart awezi kufanya ujinga huo.

Mbinu za Trump kuhamisha sekeseke la Urusi kwa kutubukiza sakata la Kim mbinu hizo zimesaidia sana kushusha joto la kusakamwa kila siku na vyombo ya habari(MSM) kuhusu Urusi na Putin, chunguza vyombo vya habari siku hizi hawazungumzii tena masuala ya Urusi wako absorbed na Kim na tukio la hivi karibuni huko Spain, what a clever ploy?
 
Marekani ananunua rocket engine kutoka ussr sio kwa kupenda ila hana uwezo huo halaf usikir kuwa usa anaweza tengeneza kila kitu vingine anaagiza hata baraza la senate liliwahi jadili kuachana na deals of pumping billions of dollars to Russia for first class rocket engines for space mission lakini ilishindikana kutokana na bei kubwa ktk makampuni ya kibepari kama vile Lockheed

Mambo mengine hatuyasemi, kuna wakati DoD walifanya auditing ya kushtukiza walishangaa walipo gunduwa kwamba asilimia kubwa ya spare parts za ndege zao za vita zinatoka UCHINA - just imagine! Kama zingekuwa ni spare za ndege za kiraia kweli, lakini ndege za vita??
 
Mkuu soma historia - Amerika iliwahi kushinda vita wapi kwa kujitegemea yenyewe - wapi? Uingereza kweli huko Falkland, sio hawa Mayankee.

Kama kufunza adabu wangeazia VietNam na iliyo kuwa Korea - twambie kushikisha kwao watu/Nchi adabu kuliwafikisha wapi wakati alipo pigana vita na Mataifa hayo mawili, kwa nyakati tufauti - walishindwa vita kutokana na ujarisi wa makomanda wa Nchi zilizo vamiwa na US, vile vile Silaha walizopewa na Uchina na Urusi ndiyo zilisababisha Uncle SAM kutimka, hapo tunazungumzia matukio ya miaka 60+ huko Korea na miaka 40+ huko VietNam , je, nchi zilizo toa silaha miaka hiyo hivi sasa zina silaha gani ambazo ni bora zaidi zenye uwezo mkubwa wa kuwafunza wavamizi adabu and not the other way around, hilo amulisemi.

Tukiachana na matukio ya vita kwenye miaka ya 1950s na 1970s tuje vita ya miaka ya hivi karibuni namely 1980/90s, swali ni ,je, huu ni mwaka wa ngapi tangu wajiingize Afghanistan - huko sahihi ni mwaka wa 16 na bado wanaendelea kuenyeshwa na Wateliban huko Afghanistani- hivi sasa U.S hipo mbioni kutafuta suluhu inataka waelewane na Wateliban ili wasitishe vita!!! Haya tuje Iraq huu mwaka wa ngapi? USA inaweza kusema kwamba Iraq kuna amani wakati bado Amerika ina kimbizana na Waasi, mwezi March au April walilazimaka kufanya a carpet bombing mji mzima wa Mosul waka wauua raia chungu mzima na mji wenyewe ukageuzwa magofu matupu na wala sikusikia CNN na other MSM outlets wakikemea mauuaji makubwa ya raia wa Iraq yaliyo sababishwa na ndege za Marekani/NATO, CNN walikaa kimya kabisa, kazi kuwasema vibaya Asaad na Iran!!!

Leo hii Amerika na Ulaya wanakemea mauuji ya Raia wao yanayo fanywa na watu walio kata tamaa ya kufanyiwa vitendo vya kidhalimu/mauuaji la raia wasio na hatia ndani ya nchi zao za Mashariki ya kati na Afrika kasikazini kukana na ndege za vita zenye marubani na Drones zinashambulia misikiti,mashule,Hospitali mpaka sherehe za harusi zinashambuliwa bila huruma - harafu nchi za magharibi walivyo mazabazabina wanashangaa vijana wa Kiarabu wanapo endesha magari madogo na malori kukanyaga wenyeji wa huko Ulaya wakilipiza kisasi - Dunia nzima inalazimika kuwalahumu Waarabu, lakini ndege za NATO zikifanya maafa makubwa kwa nchi za Kiarabu Dunia inakaa kimya as if Arabs are not human beings. NATO hawana time ya kukaa chini na kujiuliza maswali magumu ni kitu gani kina sababisha amani kutoweka huko Ulaya na Merikani kwenyewe - wapo wapo tu na majigambo - wamekuwa kero kwa kukosesha watu amani Duniani, wakiachana na tabia zao za kupendelea regime changes na NWO hakuna atakaye wafuata - hivi sasa Dunia haikubali tena kuendeshwa in ki - Unipolar mode wapo key players wengine - Amerika ikubali kwamba hivi sasa buzz word ni a Multipolar World wakubali wasikubali watakubwa na tide hawana jinsi.
Sijui utakua umeongea nini maana maelezo meeeeengi sijasoma.kifupi kubali kataa Korea ni kama Matumla na America ni kama Tyson,jana siyo kesho ndugu

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Sijui utakua umeongea nini maana maelezo meeeeengi sijasoma.kifupi kubali kataa Korea ni kama Matumla na America ni kama Tyson,jana siyo kesho ndugu

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA

Hakuna anaye kulazimisha kusoma comments zangu - if it sounds Greek to you, just ignore.
 
Hata mwenye akili mdogo anajua tu ile ni complement anayopewa kiduku ili impumbaze kiaina.
Ukweli IPO clear kua Kiduku hawezi kuiletea shida USA.
Pamoja na nuclears zake.

USA wanapendelea kuvichapa kistaarabu vinchi vidogo kama NK, lakini kwa hali ilivyo USA army wame calculate Risks, wakaona njia inayofaa kutumika na ni safer kwao ni kuwafuta kwenye ramani. Jambo ambalo ni ukatili mkubwa.

Lakini kama NK wangetaka kupigana kwa kanuni, Kim jon Un, anajua fika hawezi kutoboa mziki WA USA. Ndio maana kila Siku NK analialia kua anayo nuclear kwakua anajua hakuna silaha ya kuiogopesha USA nje ya nuclear.
Jambo ambalo hata president Putin aliwahi kusema ikitokea anapigana na USA, ataanza na nuclear badala ya silaha zingine.

USA ni Goliath. Acheni mchezo.!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiduku Huyu ntampa dada yangu wa kidigo huyu mbona ananifurahisha hivi na nasikia juzi katest kanyuklia kadogo kadogo kama kifungo cha boksa kwa ajili ya mawigi trump tu yani cha kumlipua trump private
Na mimi ntanyoa kiduku mkuu
 
Tatizo ni Seoul (South Korea capital city) ipo karibu sana na North Korea border,wataalam wanakuambia vitu vilivyotegeshwa pale vita ikianza within 30 minutes Seoul with 10 million people itakuwa majivu, hawana ujanja wa kumvamia fat bot na sababu ni hiyo
 
Tatizo ni Seoul (South Korea capital city) ipo karibu sana na North Korea border,wataalam wanakuambia vitu vilivyotegeshwa pale vita ikianza within 30 minutes Seoul with 10 million people itakuwa majivu, hawana ujanja wa kumvamia fat bot na sababu ni hiyo
Kama tatizo ni hilo tu wahamishe mji basi waingie mzigoni acha kudanganya wewe

huwezi jua
 
Back
Top Bottom