CIA wamekubali North Korea ana uwezo wa kushambulia Marekani kwa nyuklia

johnnydeep

Senior Member
May 2, 2017
116
102
Kukubali kwa CIA kunaondoa utata uliojitokeza tangu enzi ya Bill clinton kama kweli North korea ni tishio kwa marekani, sababu hapo awali ilifahamika ni tishio kwa nchi za Japan na South korea.

Labda taarifa za hivi karibuni zinasema north korea walinunua injini za makombora ya masafa marefu kutoka ukraine na russia ndio maana uwezo wao umeongezeka kwa kasi tofauti na makisio ya awali ya CIA.

Sasa kwa vile miji yote ya marekani imo ndani ya batani ya Kim Jong Un, Marekani itaonyesha heshima na kukaa meza ya majadiliano


CIA reportedly admits North Korean nukes are good enough reach US cities
 
Kama unafurahia habari hii, basi siku panki boy akidundwa wala usilalamike kuwa kadundwa bila ushahidi kama ilivyotokea kwa saddam

Marekani hawezi kukubali hata one day vita ipiganiwe kwenye ardhi ya taifa lake mana athari yake kubwa sanaa
 
Kama unafurahia habari hii, basi siku panki boy akidundwa wala usilalamike kuwa kadundwa bila ushahidi kama ilivyotokea kwa saddam
underdogs ( mnyonge) siku zote anapewa sapoti hata Leo Tanzania ikicheza na ujerumani tutapata sapoti ya mashabiki.
napenda ulimwengu ambao mbabe sio mmoja ili kuondoa uonevu na kuleta kuheshimiana, Hitler angekuwa superpower peke yake hali ingekuwa mbaya kwa dunia
 
Mbona Wamerikani wenyewe bado wananunua Rocket Booster Engines kutoka Urusi mpaka leo, nani aliwahi kuwanyoshea vidole au kuwashutumu, sasa kwa nini Kim akinunua engines hizo kutoka Urusi hilo linaonekana ni kosa - Wamerikani wanataka Dunia nzima imushutumu Kim!!

Kwani CIA na majigambo yao wanafikiri Warusi hawajui kwamba engine zao zinatumiwa na jeshi la Merikani/CIA kurusha roketi zenye satellite za kijeshi zenye lengo la kupeleleza mienendo ya majeshi ya Urusi na Uchina, satellite nyingine za USA ni satellite killer zenye lengo la kuhujumu satellite za Warusi, Wachina na Korea lakini kwa kuwa Warusi wanajiamini wanawauzia engines bila ya kinyongo, je, ingekuwa Amerika ndiyo yenye uwezo wa kuunda a very powerful and reliable first stage rocket engine wangeweza kuwauzia Warusi?

Jibu ni hapana - akili za U.S zinafikiria kuendelea kuwawekea vikwazo vya kiuchumi Warusi lakini hawaoni aibu kutumia mashini za Warusi na roketi kwenye masuala ya kijeshi na Uraiani - wako self centered kweli kweli na wivu wa kijinga.

Wanasayansi na Mainjinia huko US wamejaribu mara nyingi ku-reverse Engineer rocket Engine booster za Warusi type RD-180 bila ya mafanikio, hawana jinsi wana swallow pride zao na kuendelea kuzinunua.
 
Huyu Mapanki huyu anapata sifa za kijinga ila atakuja ajute kwa wehu wake.

Mkuu wehu upi? Kwani Kim aliwahi kuvamia nchi gani hapa Duniani, ebu jaribu kuangalia ramani ya Dunia, je, kuna umbali gani kutoka Ras ya Korea kwenda West Coast ya USA? Umehawi kusikia hata siku moja Meli,Nyambizi, ndege za kivita na jeshi la majini la Korea Kasikazini wakifanya mazoezi ya kivita karibu na pwani ya magharibi ya Merikani - lini? Mbona kila mwaka tuna ambiwa kwamba jeshi la Merikani na zana zao za vita wanafanya mazoezi makali pwani ya Korea eti kutuma ujumbe kwa Kim, huu kama sio uchokozi ulio dhahili tuuiteje, wao wana haki gani ya kutisha tisha Vinchi vya Dunia ya tatu ambavyo si tishio kwa U.S.

Nani ambaye ajui Kim anataka kujirimbikizia silaha kali kwa kujilinda na sio kuvamia nchi za watu, wenye tabia za kijambazi za kuvamia vamia nchi changa ni Wamerikani wenyewe. Kim awezi kukubali kusitisha uundaji wa nuclear bom na ICBM za ku-deliver Nuclear payload kwa nchi chokozi, ilijifunza kilicho mpata Gaddafi baada ya kudanganywa na Merikani, Ufaransa na Uingereza kwamba asitishe uundaji wa Nuclear bomb kwa ku-dismantle mitambo yote waliyo kuwa wanatumia kuunda mabom, Gaddafi alipo tekeleza mapendekezo ya nchi za magharibi mwaka uliyo fuata wakamvamia akaondolewa madarakani na kuuwawa kwa kupigwa risasi na majasusi wa Ufaransa.

Kim is very smart upstairs awezi kukubali kuachia/haribu silaha zake za nyuklia zinazo muhakikishia Usalama wa Taifa lake, juzi juzi hapa mlimsikia Trump anasema anataka kutuma majeshi yake Venezuela kumuondoa madarakani ‎Nicolás Maduro, naona U.S ilisitisha operation hiyo baada ya Wachina kuja juu kutokana na vitega uchimu vyao vingi nchini Venezuela!!
 
Trump bhana hivi alisha maliza ahadi zake alizo wahaidi Wamarekani kuzitimiza wakati wa kampeni zake au anakomaa tu na N.Korea?
 
Huyu Mapanki huyu anapata sifa za kijinga ila atakuja ajute kwa wehu wake.
Tatizo lenu amjui spirit ya NK. mnadhani wanaogopa kufa kama sisi jidanganyeni NK ni ishu nyingine hapo USA atakua USA baby kweli kweli
 
Mbona Wamerikani wenyewe bado wananunua Rocket Booster Engines kutoka Urusi mpaka leo, nani aliwahi kuwanyoshea vidole au kuwashutumu, sasa kwa nini Kim akinunua engines hizo kutoka Urusi hilo linaonekana ni kosa - Wamerikani wanataka Dunia nzima imushutumu Kim!!

Kwani CIA na majigambo yao wanafikiri Warusi hawajui kwamba engine zao zinatumiwa na jeshi la Merikani/CIA kurusha roketi zenye satellite za kijeshi zenye lengo la kupeleleza mienendo ya majeshi ya Urusi na Uchina, satellite nyingine za USA ni satellite killer zenye lengo la kuhujumu satellite za Warusi, Wachina na Korea lakini kwa kuwa Warusi wanajiamini wanawauzia engines bila ya kinyongo, je, ingekuwa Amerika ndiyo yenye uwezo wa kuhunda a very powerful and reliable first stage rocket engine wangeweza kuwauzia Warusi? Jibu ni hapana - akili za U.S zinafikiria kuendelea kuwawekea vikwazo vya kiuchumi Warusi lakini hawaoni aibu kutumia mashini za Warusi na roketi kwenye masuala ya kijeshi na Uraiani - wako self centered kweli kweli na wivu wa kijinga.

Wanasayansi na Mainjinia huko US wamejaribu mara nyingi ku-reverse Engineer rocket Engine booster za Warusi type RD-180 bila ya mafanikio, hawana jinsi wana swallow pride zao na kuendelea kuzinunua.
Fikiria pia upande wa pili;; huoni ni danganya-toto kijifanya hawawez kutengeneza hizo engines ili kupeleleza utundu wa kisayansi wa mRussia? Kujua sir ya adui yako ni silaha pia
 
Back
Top Bottom