Ilikuwa ni majira ya saa 12 jioni nikiwa natoka maeneo ya daraja mbili kuelekea relini,ndipo nikakutana na manjemba 2 mmoja alikuwa na panga mwingine alikuwa na kipande cha chuma (nondo). Baada ya kuwaona nikasimama gafla mara nikaona 1 ananipita kwa upande wa kulia na mwingine kushoto. Nilipoona hivyo nilitoka nduki kupita upande wa kuchoto kwa mwenye nondo gafla akataka kunilenga na ile chuma bahati nzuri hakunipata akalenga nyumba ambayo nilipita karibu. Wadau nilicho ona ni kipande cha tofali ikipaa juu. Wana JF nipeni ushauri nifanyeje napata wasiwasi ya kuishi ktk mji huu japo ndiyo home. Asante mungu kwa kuninusuru ktk chinjachinja ya Ccm.