cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Hii nimeiona kwenye taarifa ya habari jana usiku
watoto wadogo walipokwenda kumwaga uchafu wa maganda ya miwa kwenye jalala wakati baadhi ya taka zingine zikiiungua ndipo ghafla kumbe chupa ya dawa ya mbu ilikuwepo pia ikalipuka na kuwalukia watoto hao wote wanne 4 na kuwababua usoni
Zilifanyika juhudi za haraka kuwawahisha hospitali watoto hao kwani hali zao hazikuwa nzuri kiafya hasa maeneno ya usoni
Wito
Please vitu hivi ni hatari sana hasa inapochomwa jalalani usijue ikilupa inaweza kukutoa uhai nawakumbusha wazazi wote tuwe makini na taka za namna hii kwa watoto wetu!!
watoto wadogo walipokwenda kumwaga uchafu wa maganda ya miwa kwenye jalala wakati baadhi ya taka zingine zikiiungua ndipo ghafla kumbe chupa ya dawa ya mbu ilikuwepo pia ikalipuka na kuwalukia watoto hao wote wanne 4 na kuwababua usoni
Zilifanyika juhudi za haraka kuwawahisha hospitali watoto hao kwani hali zao hazikuwa nzuri kiafya hasa maeneno ya usoni
Wito
Please vitu hivi ni hatari sana hasa inapochomwa jalalani usijue ikilupa inaweza kukutoa uhai nawakumbusha wazazi wote tuwe makini na taka za namna hii kwa watoto wetu!!