gashambala uwezo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 485
- 67
tafadhari sana, naomba yoyote anayejua chuo cha private kinachodahili
wanafunzi wa diploma ya shule ya msingi.
aidha kwa sasa mwanangu yuko katika chuo cha ualimu cha private kinachotoa ngazi ya cheti ambayo ngazi hiyo r
imefutwa rasmi.....
tumefanya utafiti kidogo juu ya jambo hili, ni kweli wale ambao wako tayari kwenye vyuo vya private wataendelea na masoma yaoo, pamoja na usemi huu wa serikali bado binafsi na kuwa na mashaka katika nafsi
yangu ya kwamba huenda mbeleni akapata matatizo pamoja na kacheti kake ka ngazi ya cheti.
ningependa kusamehe karo zote ambazo nimelipa na nimuhamishie katika chuo ambacho atapata elimu sambamba
na ile ya wanachuo walichukuliwa na serikali.
msaada p'e
wanafunzi wa diploma ya shule ya msingi.
aidha kwa sasa mwanangu yuko katika chuo cha ualimu cha private kinachotoa ngazi ya cheti ambayo ngazi hiyo r
imefutwa rasmi.....
tumefanya utafiti kidogo juu ya jambo hili, ni kweli wale ambao wako tayari kwenye vyuo vya private wataendelea na masoma yaoo, pamoja na usemi huu wa serikali bado binafsi na kuwa na mashaka katika nafsi
yangu ya kwamba huenda mbeleni akapata matatizo pamoja na kacheti kake ka ngazi ya cheti.
ningependa kusamehe karo zote ambazo nimelipa na nimuhamishie katika chuo ambacho atapata elimu sambamba
na ile ya wanachuo walichukuliwa na serikali.
msaada p'e