Chuo Kikuu cha Waislam cha Morogoro (MUM) chamtunuku Baraka Mpenja Cheti cha Kutambua mchango wake kwenye lugha na utamaduni

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,789
218,431
Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kimemtunuku mtangazaji wa kandanda wa AzamMedia, Baraka Mpenja 'Sauti ya Radi' ikiwa ni ithibati ya kutambua na kuthamini mchango wake wa kipekee anaoutoa katika maendeleo na ustawi wa lugha na utamaduni wa Kiswahili duniani.

Mpenja ametunukiwa cheti hiko leo kwenye Tamasha la Kimataifa la Utamaduni wa Mswahili na kumbukizi
ya Shaaban Robert lililofanyika mkoani Morogoro na kuratibiwa na chuo hiko cha MUM huku wadau wa Kiswahi kutoka ndani na nje ya Tanzania wakiwa ni sehemu ya wahudhuriaji.

Screenshot_2024-01-01-14-52-11-1.png
 
Kuna ka lugha huwa anakatumia wakati akifungua matangazo " Asalam......" Nadhani ndio kimewavutia zaidi wanazuoni hao kuona ansongea kiswahili Cha ndaaaaaaaani kabisa kiasi Cha kustahili tuzo kutoka kwenye taasisi hiyo ya elimu ya kidini
Navyojua huyu dogo alisilimu ,pale azam wakristo wanaishi maisha ya tabu sana ukisilimu ishu inakuwa Raha

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Kuna mwingine na yeye naona naye atapata tuzu hivi karibuni na taasisi hiyo hiyo kwa Jitihada zake za kusalisha vizuri " KISWAHILI" kipindi Cha michezo asubuhi jumapili au jumamosi, huwaalika wachezaji wa zamani na siku hiyo ikiwepo mechi ya kimataifa ya timu ya Taifa au clab basi huamuru mmoja wa wakongwe hao kuswalisha kuziombea timu hizo kwa "" LUGHA YA KISWAHILI""" Nadhani naye watamuona kwa Jitihada zake za kuwa mwenezi wa """ LUGHA YA KISWAHILI """"😄😄😄
 
Kuna ka lugha huwa anakatumia wakati akifungua matangazo " Asalam......" Nadhani ndio kimewavutia zaidi wanazuoni hao kuona ansongea kiswahili Cha ndaaaaaaaani kabisa kiasi Cha kustahili tuzo kutoka kwenye taasisi hiyo ya elimu ya kidini
Kabla sijamaliza kusoma ni lugha ipi imemfanya atununkiwe na mimi nilijua ni kiarabu
 
Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kimemtunuku mtangazaji wa kandanda wa AzamMedia, Baraka Mpenja 'Sauti ya Radi' ikiwa ni ithibati ya kutambua na kuthamini mchango wake wa kipekee anaoutoa katika maendeleo na ustawi wa lugha na utamaduni wa Kiswahili duniani.

Mpenja ametunukiwa cheti hiko leo kwenye Tamasha la Kimataifa la Utamaduni wa Mswahili na kumbukizi
ya Shaaban Robert lililofanyika mkoani Morogoro na kuratibiwa na chuo hiko cha MUM huku wadau wa Kiswahi kutoka ndani na nje ya Tanzania wakiwa ni sehemu ya wahudhuriaji.

View attachment 2859311
Naomba CV yake.
 
Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kimemtunuku mtangazaji wa kandanda wa AzamMedia, Baraka Mpenja 'Sauti ya Radi' ikiwa ni ithibati ya kutambua na kuthamini mchango wake wa kipekee anaoutoa katika maendeleo na ustawi wa lugha na utamaduni wa Kiswahili duniani.

Mpenja ametunukiwa cheti hiko leo kwenye Tamasha la Kimataifa la Utamaduni wa Mswahili na kumbukizi
ya Shaaban Robert lililofanyika mkoani Morogoro na kuratibiwa na chuo hiko cha MUM huku wadau wa Kiswahi kutoka ndani na nje ya Tanzania wakiwa ni sehemu ya wahudhuriaji.

View attachment 2859311
Kooo..baaazi.
 
Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kimemtunuku mtangazaji wa kandanda wa AzamMedia, Baraka Mpenja 'Sauti ya Radi' ikiwa ni ithibati ya kutambua na kuthamini mchango wake wa kipekee anaoutoa katika maendeleo na ustawi wa lugha na utamaduni wa Kiswahili duniani.

Mpenja ametunukiwa cheti hiko leo kwenye Tamasha la Kimataifa la Utamaduni wa Mswahili na kumbukizi
ya Shaaban Robert lililofanyika mkoani Morogoro na kuratibiwa na chuo hiko cha MUM huku wadau wa Kiswahi kutoka ndani na nje ya Tanzania wakiwa ni sehemu ya wahudhuriaji.

View attachment 2859311
Nawaona wasomi wa MUM wanaotusumbua humu akina Malaria 2 Bwana Utam
 
Back
Top Bottom