hkeenshine
Member
- Jan 5, 2013
- 36
- 4
Naomba kujuzwa wakuu, ni chuo gani kinachotoa kozi ya graphics design na quality zao ikiwa na being zao kama utakua unafahamu kwa hapa Tanzania?
Hivo ulvopita wasanii watupu watakua UDSM tu mana hata nchi leo hii hali ni tete kwasabu ya wasanii waliopita hapo, kuna college moja ya informatics n virtual education ndani ya UDOM ndo HOME kinaongoza kwa graphic and design apa Tanzania.
Vingine ni zaidi ya usanii mtupu naungana nawe.
Tafuta wanapofanya filamu.. Ongea na Director.. Jitolee. That's the best way possible. Ukitaka kuwa mhunzi kaa na mhunzi.Nataka kujuwa chuo cha video production, graphic,photograhy na mambo haya filmmaking kwa hapa Dsm ntapata wapi?.
Ishu kuwapata hao watuTafuta wanapofanya filamu.. Ongea na Director.. Jitolee. That's the best way possible. Ukitaka kuwa mhunzi kaa na mhunzi.
Asante dudeDar es Salaam Institute of Technology (DIT) wanatoa unachokitaka, kasome!..www.dit.ac.tz
Kipo ilala kinaitwa IAMCO.... INSTITUTE OF ARTS MEDIA AND COMMUNICATIONNataka kujuwa chuo cha video production, graphic,photograhy na mambo haya filmmaking kwa hapa Dsm ntapata wapi?.