Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 622
- 1,643
Guys, niliombwa kumfanyia mtu maombi ya chuo na alichagua NIT, Nilifanya application second round na nikalipia na ikabaki kusubiri chaguzi, cha achabu nina wiki sasa nikijaribu kuingia kuangakia STATUS wanasema INCORRECT LOGIN, mwenye nilimuombea anaona kama sikuomba nimekula 10000 yake.
Kama kuna mtu anaweza kujua what is happening let me know maana hata Simu waliyoweka kwenye site yao hawapokei kabisa.
Kama kuna mtu anaweza kujua what is happening let me know maana hata Simu waliyoweka kwenye site yao hawapokei kabisa.