WAPENZI wawili jana walijikuta wakiwa kwenye wakati mgumu baada ya kumaliza shughuli zao za kimapenzi [kujamiiana] kushindwa kuachiana baada mwana baba huyo kushindwa kutoa nyeti zake kutoka kwenye nyeti za mpenzi wake.
Tukio hilo la ajabu na la mwaka lilitokea jana majira ya saa 12:45 jioni huko maeneo Tandale katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Hans Gest.
Tukio hilo la kusisimua ambalo watu wengi walioshuhudia tukio hilo waliliita ni la mwaka kwa kuwa watu wengi waliouwa wakisikia lakini jana walijionea wenyewe kwa macho watu hao wanaita [live].
Chanzo cha kuaminika cha habari hii kilisema kuwa watu hao waliingia kwenye nyumba hiyo wageni majira ya saa 10 jioni na walichukua chumba kimoja kwa ajili ya kupumzika kwa ajili ya wikiendi.
Inasemekana kuwa baada ya wapenzi hao wawili kutimiza azma yao iliyowapeleka hapo walijikuta wameshindwa kuachiana baada ya baba huyo kushindwa kutoa uume wake kutoka kwenye uke wa mpenzi wake na kusababisha aombe msaada kwa wahudumu ili waje kumsaidia.
Inasemekana baada ya kujitahidi kila aina ya ujanja wake alishindwa kujinasua kwa mwanamke huyo na kuamua kuchukua umamuzi wa kupiga kelele ili wahudumu waingie waje kumnasua.
Wahudumu walisikia mayowe yakitokea katika chumba hicho na kukimbilia na kukuta mlango umefungwa, wapenzi hao walipotakiwa kuufungua mlango huo kwa ndani walishindwa mana hakuna aliyeweza kuinuka mahali hapo na kwenda kufungua mlango huo mana walikuwa wamenganganiana.
Wahudumu hao walichofanya ni kuvunja mlango huo na kukuta baba huyo akishindwa kujinasua kutoka kwa mwanamke huyo.
Wahudumu hao wakijikuta wamepatwa na kigugumizi cha ghafla na kushindwa la kufanya.
Kadri muda ulivyozidi kwenda hali ilizidi kuwa mbaya kwa baba huyo ilibidi wahudumu hao watoe taarifa kituo cha polisi ili kuja kuwachukua watu hao na kuwakimbiza hospitali.
Pindi polisi walipofika mahali hapo walijaribu kuwauliza wapenzi hao ilikuwaje na kujielezea na mwanamke huyo alipojaribu kuwaeleza alisema yeye ni mke wa mtu na inawezekana atakuwa ametegewa na mume wake akitembea nje ya ndoa ajue.
Alisema amehisi hivyo baada kukumbuka kuwa siku moja mumewe huyo aliwahi kumtamkia kuwa asimuige yeye na kutembea na mwanaume mwingine nje mana akifanya hivyo yeye atajua tu, alishindwa kumuelewa na kujua ni mkwara tu wa wanaume walio wengi.
Alisema labda inawezekena mumewe huyo atakuwa amemfanyia madawa ya kiswahili akikutana na mwanaume ashindwe kutoka ili amkomoe ingawa na yeye anafanya vitendo hivyo kwa kuwa wanawake wa nje.
Askari waliofika katika tukio hilo walimuamuaru dada huyo kutoa namba ya simu ya mumuwe na kuonekana kutokuwa tayari lakini aliamua kutoa ili aweze kujinasua na dhahama hilo.
Askari walimpigia mume wa dada huyo na kumuuliza mahali alipo alisema yuko nyumbani, walipomuuliza mkewe yupo alijibu kuwa mke wake hayupo amemuaga amekwenda kwenye sherehe za akina mama yaani Kitchen Party atarudi baadae.
Polisi walimwambia mke wako anaumwa yuko hapa na kumuelekeza mahali hapo na mwanaume huyo kufika na kukuta umati wa watu wakiwa wamezunguka eneo hlo bila kujua kilichotokea, na kuingizwa kwenye chumba hicho na kukuta mke wake akiwa kitandani na mwanaume mwingine akiwa wamegandiana.
Alipoulizwa ni kwa nini ilitokea hivyo hakuwa na jibu na kudai kuwa amedhalilishwa na mke wake huyo na kudai yeye hajui ni kwa nini na kusema kuwa kwa kuwa ameshaona mwenyewe kwa macho yake alitaka apewe ruhusa aende nyumbani baada ya muda wataweza kuwa huru.
Inasemekana baada ya masaa matatu watu hao waliweza kujinusuru na kuachiana na kila mmoja akiwa na aibu tele ya kile kilichowakuta.
Baadae mtu wa karibu wa mwanamke huyo majira ya saa tano ya usiku iliambiwa kuwa watu hao waliweza kuachiana mTukio hilo la ajabu na la mwaka lilitokea jana majira ya saa 12:45 jioni huko maeneo Tandale katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Hans Gest.
Tukio hilo la ajabu na la mwaka lilitokea jana majira ya saa 12:45 jioni huko maeneo Tandale katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Hans Gest.
Tukio hilo la kusisimua ambalo watu wengi walioshuhudia tukio hilo waliliita ni la mwaka kwa kuwa watu wengi waliouwa wakisikia lakini jana walijionea wenyewe kwa macho watu hao wanaita [live].
Chanzo cha kuaminika cha habari hii kilisema kuwa watu hao waliingia kwenye nyumba hiyo wageni majira ya saa 10 jioni na walichukua chumba kimoja kwa ajili ya kupumzika kwa ajili ya wikiendi.
Inasemekana kuwa baada ya wapenzi hao wawili kutimiza azma yao iliyowapeleka hapo walijikuta wameshindwa kuachiana baada ya baba huyo kushindwa kutoa uume wake kutoka kwenye uke wa mpenzi wake na kusababisha aombe msaada kwa wahudumu ili waje kumsaidia.
Inasemekana baada ya kujitahidi kila aina ya ujanja wake alishindwa kujinasua kwa mwanamke huyo na kuamua kuchukua umamuzi wa kupiga kelele ili wahudumu waingie waje kumnasua.
Wahudumu walisikia mayowe yakitokea katika chumba hicho na kukimbilia na kukuta mlango umefungwa, wapenzi hao walipotakiwa kuufungua mlango huo kwa ndani walishindwa mana hakuna aliyeweza kuinuka mahali hapo na kwenda kufungua mlango huo mana walikuwa wamenganganiana.
Wahudumu hao walichofanya ni kuvunja mlango huo na kukuta baba huyo akishindwa kujinasua kutoka kwa mwanamke huyo.
Wahudumu hao wakijikuta wamepatwa na kigugumizi cha ghafla na kushindwa la kufanya.
Kadri muda ulivyozidi kwenda hali ilizidi kuwa mbaya kwa baba huyo ilibidi wahudumu hao watoe taarifa kituo cha polisi ili kuja kuwachukua watu hao na kuwakimbiza hospitali.
Pindi polisi walipofika mahali hapo walijaribu kuwauliza wapenzi hao ilikuwaje na kujielezea na mwanamke huyo alipojaribu kuwaeleza alisema yeye ni mke wa mtu na inawezekana atakuwa ametegewa na mume wake akitembea nje ya ndoa ajue.
Alisema amehisi hivyo baada kukumbuka kuwa siku moja mumewe huyo aliwahi kumtamkia kuwa asimuige yeye na kutembea na mwanaume mwingine nje mana akifanya hivyo yeye atajua tu, alishindwa kumuelewa na kujua ni mkwara tu wa wanaume walio wengi.
Alisema labda inawezekena mumewe huyo atakuwa amemfanyia madawa ya kiswahili akikutana na mwanaume ashindwe kutoka ili amkomoe ingawa na yeye anafanya vitendo hivyo kwa kuwa wanawake wa nje.
Askari waliofika katika tukio hilo walimuamuaru dada huyo kutoa namba ya simu ya mumuwe na kuonekana kutokuwa tayari lakini aliamua kutoa ili aweze kujinasua na dhahama hilo.
Askari walimpigia mume wa dada huyo na kumuuliza mahali alipo alisema yuko nyumbani, walipomuuliza mkewe yupo alijibu kuwa mke wake hayupo amemuaga amekwenda kwenye sherehe za akina mama yaani Kitchen Party atarudi baadae.
Polisi walimwambia mke wako anaumwa yuko hapa na kumuelekeza mahali hapo na mwanaume huyo kufika na kukuta umati wa watu wakiwa wamezunguka eneo hlo bila kujua kilichotokea, na kuingizwa kwenye chumba hicho na kukuta mke wake akiwa kitandani na mwanaume mwingine akiwa wamegandiana.
Alipoulizwa ni kwa nini ilitokea hivyo hakuwa na jibu na kudai kuwa amedhalilishwa na mke wake huyo na kudai yeye hajui ni kwa nini na kusema kuwa kwa kuwa ameshaona mwenyewe kwa macho yake alitaka apewe ruhusa aende nyumbani baada ya muda wataweza kuwa huru.
Inasemekana baada ya masaa matatu watu hao waliweza kujinusuru na kuachiana na kila mmoja akiwa na aibu tele ya kile kilichowakuta.
Baadae mtu wa karibu wa mwanamke huyo majira ya saa tano ya usiku iliambiwa kuwa watu hao waliweza kuachiana mTukio hilo la ajabu na la mwaka lilitokea jana majira ya saa 12:45 jioni huko maeneo Tandale katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Hans Gest.