Kweli ngoja nijipe raha mwenye....
Sio wayaongee wayamalize? akihama na akamfata?kama mnaishi naye karibu sana bora tu uhame.
Japo matatizo hayakimbiwi lkn watu wa hivyo ukiwa nao mbali ni bora,
pole,mi kuna mmoja mwanzon alinipa shida sana maana kila nikijaribu kumpotezea,na kumsamehe anarudia kwa kasi mwishowe nikajikuta namchukia kiasi cha kujisikia hovyo kila nikimuwaza lkn namshukuru Mungu tokea nimekua mbali naye hata sina tena chuki naye na moyon mwangu nimemsamehe kabisa.
Poa mdada nahisi huna mpango wa kumsamehe kabisaMmh sidhani kama anaweza kunifuata maana nikiondoka hata sitomuaga!!!
GOSH!!
Hivi jamani unaweza ukamchukia mtu mpaka ukimwona au ukimsikia hata hamu ya kula inakuisha???
Kuna mtu mmoja maishani mwangu nampenda kiasi kwamba niko tayari hata kufa kwaajili yake...sasa haya mapenzi niliyonayo kwa huyu mtu ni sawa na chuki niliyonayo kwa mtu mwingine. Yani huyu amewahi kunifanyia vimbwanga vingi sana na pamoja na chuki niliyo nayo juu yake bado sijawahi kumtakia mabaya...infact hua namsaidia sana akiwa na tatizo.Ila kila kizuri nnachomfanyia hua kinaniletea mimi mabaya kwa namna moja ama nyingine....mpaka nafikiria labda naadhibiwa kwa kumsaidia.Sasa nimefikia mahali hata nikimwangalia nahisi moyo unaniuma...nimepata mawazo mabaya kweli juu yake jana.
Sasa hivi nataka niweke umbali kati yangu na yeye kwa namna yoyote ile....hata ikibidi nihame nilipo niko tayari.Nadhani nahitaji maombi.....embu niombeeni wandugu!!
Mchana mwema!
Hello rafiki,Sipendi wa sichukii mtu - As simple as that!
Ukihama badili na line ya simu kabisa anaweza aka kutrack si unajua mautaalam siku hizi unampigia mtu wa mtandaoni anakusomea mnara tu
Sipendi wa sichukii mtu - As simple as that!
GOSH!!
Hivi jamani unaweza ukamchukia mtu mpaka ukimwona au ukimsikia hata hamu ya kula inakuisha???
Kuna mtu mmoja maishani mwangu nampenda kiasi kwamba niko tayari hata kufa kwaajili yake...sasa haya mapenzi niliyonayo kwa huyu mtu ni sawa na chuki niliyonayo kwa mtu mwingine. Yani huyu amewahi kunifanyia vimbwanga vingi sana na pamoja na chuki niliyo nayo juu yake bado sijawahi kumtakia mabaya...infact hua namsaidia sana akiwa na tatizo.Ila kila kizuri nnachomfanyia hua kinaniletea mimi mabaya kwa namna moja ama nyingine....mpaka nafikiria labda naadhibiwa kwa kumsaidia.Sasa nimefikia mahali hata nikimwangalia nahisi moyo unaniuma...nimepata mawazo mabaya kweli juu yake jana.
Sasa hivi nataka niweke umbali kati yangu na yeye kwa namna yoyote ile....hata ikibidi nihame nilipo niko tayari.Nadhani nahitaji maombi.....embu niombeeni wandugu!!
Mchana mwema!
GOSH!!
Hivi jamani unaweza ukamchukia mtu mpaka ukimwona au ukimsikia hata hamu ya kula inakuisha???
Kuna mtu mmoja maishani mwangu nampenda kiasi kwamba niko tayari hata kufa kwaajili yake...sasa haya mapenzi niliyonayo kwa huyu mtu ni sawa na chuki niliyonayo kwa mtu mwingine. Yani huyu amewahi kunifanyia vimbwanga vingi sana na pamoja na chuki niliyo nayo juu yake bado sijawahi kumtakia mabaya...infact hua namsaidia sana akiwa na tatizo.Ila kila kizuri nnachomfanyia hua kinaniletea mimi mabaya kwa namna moja ama nyingine....mpaka nafikiria labda naadhibiwa kwa kumsaidia.Sasa nimefikia mahali hata nikimwangalia nahisi moyo unaniuma...nimepata mawazo mabaya kweli juu yake jana.
Sasa hivi nataka niweke umbali kati yangu na yeye kwa namna yoyote ile....hata ikibidi nihame nilipo niko tayari.Nadhani nahitaji maombi.....embu niombeeni wandugu!!
Mchana mwema!